Ukishangaa hilo kuna hiliNakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.
Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.
Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.
Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
Ukishangaa hilo kuna hiliView attachment 1890252
Popomalingine hili..Wabunge wa CHADEMA walikuwa wanafanya maigizo ya kujikinga na corona, kama maigizo mengine yanayoendelezwa na "wataalam" wanaotuletea miongozo isiyotekelezeka !
hoja yako ni ya kijinga sana .
Nadhani sasa mmeanza kuelewa hali halisi ndani ya ccm .
Ni kama wale madada poa ambao "MWENYE BIA NYINGI MEZANI NDIO HUMPAPATIKIA"
Aibu naona mimi
Sure aseeIla mtu asiye na msimamo ni wa kumuogopa sana.
Wapinzani huwa wanaona mbali kuliko wabunge wa ccm.Nakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.
Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.
Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.
Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
Spika Ndugai huwa hakubaliani na chochote wanachosema wapinzani hata kama ni kwa maslahi mapana ya Taifa.Anaongoza bunge kwa kuegamia upande tofauti na watangulizi wake ambao walikuwa wana-balance.Ukishangaa hilo kuna hiliView attachment 1890252
Spika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha
Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .
Kuna tofauti kubwa kati ya kubadilika na kubadilishwa.YUKO SAWA[emoji817]%[emoji123][emoji1241][emoji106]
"Only Stupid People Don't Change Their Minds"..[emoji40][emoji40].. Boutros Boutros-Ghali
Former Secretary-General of the United Nations
CCM is no longer rational but irrational. "Wao ili mradi mkono uende kinywani".Nakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.
Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.
Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.
Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
Fikra zako ni nyepesi mno. Subiri utaona. Ni chanjo kwenda mbele. Kanuni za bunge zinabadirika kutokana na mazingira. Nawe jiandae kuchanjwa bila kutaka. Ni suala la mda tu.Spika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha
Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .
Ndugai hashindwi kitu akiamua broo inategemea muhimili wa serikali utamuambia niniSpika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha
Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .