Spika Ndugai na Katibu wa Bunge wapelekwe Mahakamani kwa kutoiheshimu Katiba waliyoapa kuitetea

Wapeleke wewe nani awapeleke sasa?
 
Spika ana kinga ya kutokuishitakiwa, na hiyo kinga walijiwekea na wabunge wa ccm kuipitisha, ili spika aikanyage katiba vizuri.
Hiyo kinga iliwekwa,kwahiyo inaweza kutolewa vilevile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…