Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Na huyu spika ataandika kitabu akikaribia kuvuta?Spika Ndugai alikuwa anatii order kutoka juu
Angalia baadhi ya sheria mbovu zilizopitishwa haraka....
Ndugai ni jipu,ila ccm kwa ujumla wana matatizo ya kulazimisha mambo,kama kweli walikubali mfumo wa vyama vingi kwa nini hawataki kutii sheria za nchi?Tatizo linaanzia kwenye ung'ang'anizi wa ccm na si vingevyo.Habari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
Sijui dawa yao nini hawa watu?Ndugai ni jipu,ila ccm kwa ujumla wana matatizo ya kulazimisha mambo,kama kweli walikubali mfumo wa vyama vingi kwa nini hawataki kutii sheria za nchi?Tatizo linaanzia kwenye ung'ang'anizi wa ccm na si vingevyo.
Dawa yao naona ni kuwa na Katiba inayoondoa kinga za Viongozi wakuu wa Serikali ili kuwa na utawala wa sheria unaozingatia "Principles of Constitution' kama vile Human Rights,Separation of Powers(The Government,Parliament and Judiciary),Ministerial Responsibility,Independence of Judiciary and Parliamentary Supremacy.Sijui dawa yao nini hawa watu?
... adui #1 wa taifa hili ni CCM kupitia mawakala wake - Katiba Mbovu, Bunge, Poli-CCM, and NEC in that order.Habari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
Habari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
... siku hizi hadi Ndugai na Tulia nao wamejiwekea kinga za kutoshtakiwa hata baada ya kuondoka madarakani! Ha ha ha hii nchi komedi kweli kweli!Dawa yao naona ni kuwa na Katiba inayoondoa kinga za Viongozi wakuu wa Serikali ili kuwa na utawala wa sheria unaozingatia "Principles of Constitution' kama vile Human Rights,Separation of Powers(The Government,Parliament and Judiciary),Ministerial Responsibility,Independence of Judiciary and Parliamentary Supremacy.
Tukizingatia hayo tutapunguza sana nguvu ya Polisi na Wakurugenzi pamoja na viongozi wengine kukiuka sheria kwa malengo ya kuwalinda na kuwatetea Viongozi wakuu wa nchi.
Kweli ni janga,tunatengeneza laana badala ya baraka.... siku hizi hadi Ndugai na Tulia nao wamejiwekea kinga za kutoshtakiwa hata baada ya kuondoka madarakani! Ha ha ha hii nchi komedi kweli kweli!
... siku hizi hadi Ndugai na Tulia nao wamejiwekea kinga za kutoshtakiwa hata baada ya kuondoka madarakani! Ha ha ha hii nchi komedi kweli kweli!
... wangepewa titles mpya tu tujue moja - His Royal Highness Prince Job Ndugai; Her Royal Highness Princess Dr. Tulia Ackson Mwang'onda. Ni katika familia za kifalme ukiacha His/Her Majesty, Crown Prince na Crown Princess ndio ambao hawashtakiwi kokote. Bila Katiba Mpya na Bora hatuchomoki kwenye makucha ya hawa watu!Kweli ni janga,tunatengeneza laana badala ya baraka.
Aanze kukiandaa in advance, yupo mbioniNa huyu spika ataandika kitabu akikaribia kuvuta?
Mashaka niliyo nayo katika awamu hii ni kwamba ndani ya serikali hii kuna makundi pale bungeni ndugai ana kundi lake ,wizarani nchemba ana kikundi chake akiamua ameamua ,mama hana maamuzi ,waziri mkuu nae amepwaya ,makamu wa rahisi nae haelewi asimamie wapi......kwa ufupi hii nchi ina marais zaidi ya kumi wanatupeleka wanavyotaka kwa awamu hiiHabari!
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya spika Ndugai ndilo lililopitisha sheria kandamizi nyingi zaidi kuliko kipindi cha maspika wengine wote.
Serikali (Rais) kazi yake ni kutawala, na katika kutawala kuna mahali panahitajika mkono wa chuma(maumivu) na kuna mahali hapahitaji mkono wa chuma.
Sasa bunge kazi yake ni kuutuliza mkono wa serikali usilete maumivu kwa wananchi.
Sasa inatika wakati spika Ndugai anawaambia wabunge wapitishe sheria na wasipopitisha bunge litavunjwa. Na kwakuwa wabunge wetu njia walizoingilia bungeni wanazijua wenyewe basi wakisikia kuhusu kuvunjwa bunge wanaufyata.
Kwahiyo adui nambari moja wa Wananchi ni Spika Ndugai na si Rais Samia Suluhu.
Ha ha ha ha ha unaona mbali mkuu,kweli inastahili iwe hivyo.... wangepewa titles mpya tu tujue moja - His Royal Highness Prince Job Ndugai; Her Royal Highness Princess Dr. Tulia Ackson Mwang'onda. Ni katika familia za kifalme ukiacha His/Her Majesty, Crown Prince na Crown Princess ndio ambao hawashtakiwi kokote. Bila Katiba Mpya na Bora hatuchomoki kwenye makucha ya hawa watu!
Mkuu, sometimes kukiwa na "kihoja" chenye maslahi kwao wanapendaga sana kujinasibu Bunge la Tanzania ni member wa Mabunge ya Commonwealth na linafuata utamaduni wa mabunge hayo! Sasa waulize wakutajie ni bunge lipi la Commonwealth ambako Spika na Naibu wake wana kinga za kutoshtakiwa wataishia kutoa macho tu! Narudia tena, bila Katiba Mpya na Bora, nchi imetekwa na kakikundi fulani hii!Ha ha ha ha ha unaona mbali mkuu,kweli inastahili iwe hivyo.