Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa. Miradi ambayo haijakamilika ingemalizwa kwa pesa gani?

Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa. Miradi ambayo haijakamilika ingemalizwa kwa pesa gani?

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.

Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli pasipo shaka kwamba kwenye utawala wa awamu ya 5 kulikuwa na miradi mikubwa mingi sana kupita uwezo wetu na kiasi cha kutuelemea, SGR Mwalimu HYDRO ELECTRIC POWER, Flyover new SALANDER BRIDGE na mingine mingi ambayo sikuilezea hapa.

SGR imesimama hakuna hela, Mwalimu Hydro electric power iimesimama hakuna hela.

Je, hi miradi ingemalizwa kwa pesa gani?
 
... kimsing SSH kwa sehemu kubwa anakopa angalau kusogeza miradi ya Mwendazake. Pamoja na poor planning na priorities haina maana kuiachia katikati ni hasara kubwa sana kwa taifa. Madeni yote ya Mama yanapaswa kuingia kwenye akaunti ya Mwendazake; kumlaumu SSH kwa issue ya madeni ni kumwonea.
 
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.

Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli pasipo shaka kwamba kwenye utawala wa awamu ya 5 kulikuwa na miradi mikubwa mingi sana kupita uwezo wetu na kiasi cha kutuelemea, SGR Mwalimu HYDRO ELECTRIC POWER, Flyover new SALANDER BRIDGE na mingine mingi ambayo sikuilezea hapa.

SGR imesimama hakuna hela, Mwalimu Hydro electric power iimesimama hakuna hela.

Je, hi miradi ingemalizwa kwa pesa gani?
Daah!! Mkuu , Timu Samia umekuja na hasira sana mpaka umeandika Ngugai badala ya Ndugai!!

Mwaka huu uishe tu, naona mnataka mmtoe koromeo kabisa akate kauli
 
Tozo ililetwa kwaajili ya kujenga madarasa, barabara, hospitali nk

Tumeenda kukopa hela kwaajili ya kujengea madarasa, sasa pesa ya tozo inaenda wapi?inafanya kazi gani?

Hili swali ni kama halina majibu mpaka sasa.
 
... kimsing SSH kwa sehemu kubwa anakopa angalau kusogeza miradi ya Mwendazake. Pamoja na poor planning na priorities haina maana kuiachia katikati ni hasara kubwa sana kwa taifa. Madeni yote ya Mama yanapaswa kuingia kwenye akaunti ya Mwendazake; kumlaumu SSH kwa issue ya madeni ni kumwonea.
Poor planning .....your very very stupid
 
Pesa zilizokopwa na Samia hakuna hata shilingi ya SGR wala Bwawa la Nyerere sasa ni miradi gani hiyo ya kumalizia?

Kakopa pesa kujenga Madarasa, Madawati na kwa ajili ya Pemba na Zanzibar na nafikiri sijui kuna barabara gani huko Kilimanjaro!

Ni kiasi gani limepelekwa pemba na zanzibar? Zimepelekwa kwenye miradi ipi
Halafu tujuze, pemba ni wapo na zanzibar ni wapi?
 
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.

Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli pasipo shaka kwamba kwenye utawala wa awamu ya 5 kulikuwa na miradi mikubwa mingi sana kupita uwezo wetu na kiasi cha kutuelemea, SGR Mwalimu HYDRO ELECTRIC POWER, Flyover new SALANDER BRIDGE na mingine mingi ambayo sikuilezea hapa.

SGR imesimama hakuna hela, Mwalimu Hydro electric power iimesimama hakuna hela.

Je, hi miradi ingemalizwa kwa pesa gani?
Madini na Tozo zilitosha.
 
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.

Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli pasipo shaka kwamba kwenye utawala wa awamu ya 5 kulikuwa na miradi mikubwa mingi sana kupita uwezo wetu na kiasi cha kutuelemea, SGR Mwalimu HYDRO ELECTRIC POWER, Flyover new SALANDER BRIDGE na mingine mingi ambayo sikuilezea hapa.

SGR imesimama hakuna hela, Mwalimu Hydro electric power iimesimama hakuna hela.

Je, hi miradi ingemalizwa kwa pesa gani?

..kwani fedha za ndani zimekwenda wapi?

..haiwezekani kwa miaka 4 serikali idai tuna uwezo wa kumaliza miradi kwa fedha za ndani, halafu ghafla kauli zinabadilika na tunaletewa habari za mikopo.
 
Spika Ndugai ni mnafiki mkubwa wa kisiasa , alikuwepo bega kwa bega pembeni ya mwendazake akiwahutubia wananchi kwenye mikutano akiwaambia wananchi kwamba miradi yote hiii mikubwa inajengwa na pesa zetu za ndani.

Wananchi walikuwa wanapiga makofi na Ndugai mwenyewe anapiga makofi. Ni kweli pasipo shaka kwamba kwenye utawala wa awamu ya 5 kulikuwa na miradi mikubwa mingi sana kupita uwezo wetu na kiasi cha kutuelemea, SGR Mwalimu HYDRO ELECTRIC POWER, Flyover new SALANDER BRIDGE na mingine mingi ambayo sikuilezea hapa.

SGR imesimama hakuna hela, Mwalimu Hydro electric power iimesimama hakuna hela.

Je, hi miradi ingemalizwa kwa pesa gani?
kama kuna kisehemu tuuze
 
Huu mkopo wa trilioni 1.3 haukulenga kuendeleza miradi ya kimkakati bali kuzitumia kujengea madarasa na nyingine kutumika kuijenga zanzibar, mwisho wa siku Tanganyika ndo itaumia kulipa mikopo isiyokuwa na tija kama huu wa 1.3T.....
 
Hii habari hujaisoma au hujaielewa, hebu isome, unaweza pata mtu akakutafsiria kwa kiswahili.
Lakini hujanisaidia kujua pemba ni wapo na zanzibar ni wapi

Wewe uliyeielewa ni wapi wameandika kuna fedha za SGR au Bwawa la Nyerere kwenye huo mkopo? Sehemu kubwa ya mkopo inakwenda kujenga Madarasa na Madawati.
Haya onyesha fedha za SGR na Bwawa la Nyerere ziko wapi ?

500 Million USD - primary education; 150 million dollars - land tenure improvement; 500 million Dollars - secondary education; 117 million dollars - Zanzibar Energy sector; 425 million dollars - Zanzibar Higher education; 150 million dollars - growth for Zanzibar; 300 million dollars- social economic activities; 150 million dollars- digital Tanzania;
 
Wewe uliyeielewa ni wapi wameandika kuna fedha za SGR au Bwawa la Nyerere kwenye huo mkopo? Sehemu kubwa ya mkopo inakwenda kujenga Madarasa na Madawati.
Haya onyesha fedha za SGR na Bwawa la Nyerere ziko wapi ?

500 Million USD - primary education; 150 million dollars - land tenure improvement; 500 million Dollars - secondary education; 117 million dollars - Zanzibar Energy sector; 425 million dollars - Zanzibar Higher education; 150 million dollars - growth for Zanzibar; 300 million dollars- social economic activities; 150 million dollars- digital Tanzania;
Umemjibu kwa weledi sana hasante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga miradi mikubwa na kuiacha ni sawa na kuhujumu Uchumi wa Nchi.

Kuiendeleza kwa fedha za ndani pasipo vyanzo vipya vya mapato ni kudidimiza Uchumi lakini pia tutachukua muda mrefu kukamilisha miradi hivyo kupelekea kuongezeka kwa gharama za ukarabati.

Kukopa ili tujenge kwa muda mfupi kutawezesha kutokuathirika kwa Uchumi lakini pia kupatikana kwa thamani halisi ya fedha lakini pia kukuza haraka Uchumi wakati wa uendeshaji/uzalishaji.

Ili tuendelee kama Taifa, ni vema masuala yanayohusu/yanayohitaji taaluma au tafiti yapate consent ya wenye taaluma husika kabla ya kutumiwa na wanasiasa.
 
Tozo ililetwa kwaajili ya kujenga madarasa, barabara, hospitali nk

Tumeenda kukopa hela kwaajili ya kujengea madarasa, sasa pesa ya tozo inaenda wapi?inafanya kazi gani?

Hili swali ni kama halina majibu mpaka sasa.
Wakikujibu hili jambo basi nitag.
 
Back
Top Bottom