#COVID19 Spika Ndugai shikilia hapo hapo, Mbunge asiyetaka chanjo aachie Jimbo

#COVID19 Spika Ndugai shikilia hapo hapo, Mbunge asiyetaka chanjo aachie Jimbo

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Yaani safari hii nitanenepa sana sina wasi wasi na Serikali ya Rais Samia Chaguo la Mungu!

Katika zama ambazo nchi inaendeshwa kisomi ni zama hizi za serikali ya awamu ya 6, Nchi inaendeshwa kisomi sana, watu kama ndugai wameamua waachane na siasa za kiki warudi kwenye taaluma zao ila wakina gwajiporn ambao hawajasoma alama za nyakati wao wanafikiri bado tupo zama zile za sifa za kijinga watapata tabu sana,

Hii nchi tangu korona imepiga rasmi na watu kujitia hamnazo tumezika viongozi wengi sana ijapokua mamlaka husika zinadai walikufa kwa magonjwa mengine ila mwenye akili haitaji kujiuliza maswali mengi, hayo magonjwa mengine yalisubiri covid ije ndio yawauwe kwa kufuatana hv?

Angalia tangu march 2020 mpaka leo tumepoteza watu mashuhuli wangapi kwa vifo vya ghafla? Sasa sasa hivi tunasema vifo basi chini ya serikali inayoendeshwa kisomi ya Mama shupavu Samia suluhu Hasan iron lady,

Nchi ipo kwenye kampeni ya chanjo, chanjo inasaidia sana kudhoofisha ugonjwa angalia wenzetu nchi zilizotuzunguka mpaka sasa wamekufa viongozi wangapi ukilinganisha na Tanzania?

Kazi iendelee! Ndugai kamatia hapo hapo yule bwana asifikiri namna anavyoongoza kondoo wake wa kawe ataiongoza na Serikali hvyo hivyo
 
Wewe una utaalamu gani? stop talking nonsense.

Uchanje utakufa

,Usichanje utakufa pia.

Sioni mantiki ya kubembelezana au kutisha watu..
 
Wewe una utaalamu gani? stop talking nonsense.

Uchanje utakufa

,Usichanje utakufa pia.

Sioni mantiki ya kubembelezana au kutisha watu..
kwaiyo mbona mnaogopa chanjo sasa kama hamuogopi kufa😁😁😁
 
nini maana ya serikali kusema chanjo ni hiari? unaetoa mada una akili timamu au chuki ndio inayokusumbua HIARI unajua maana yake
 
Yaani safari hii nitanenepa sana sina wasi wasi na Serikali ya Rais Samia Chaguo la Mungu!

Katika zama ambazo nchi inaendeshwa kisomi ni zama hizi za serikali ya awamu ya 6, Nchi inaendeshwa kisomi sana, watu kama ndugai wameamua waachane na siasa za kiki warudi kwenye taaluma zao ila wakina gwajiporn ambao hawajasoma alama za nyakati wao wanafikiri bado tupo zama zile za sifa za kijinga watapata tabu sana,

Hii nchi tangu korona imepiga rasmi na watu kujitia hamnazo tumezika viongozi wengi sana ijapokua mamlaka husika zinadai walikufa kwa magonjwa mengine ila mwenye akili haitaji kujiuliza maswali mengi, hayo magonjwa mengine yalisubiri covid ije ndio yawauwe kwa kufuatana hv?

Angalia tangu march 2020 mpaka leo tumepoteza watu mashuhuli wangapi kwa vifo vya ghafla? Sasa sasa hivi tunasema vifo basi chini ya serikali inayoendeshwa kisomi ya Mama shupavu Samia suluhu Hasan iron lady,

Nchi ipo kwenye kampeni ya chanjo, chanjo inasaidia sana kudhoofisha ugonjwa angalia wenzetu nchi zilizotuzunguka mpaka sasa wamekufa viongozi wangapi ukilinganisha na Tanzania?

Sasa ni hivi hatutaki mzaha wa kijinga. Gwajiporn na Mzee Polepole kiki za kijinga pelekeni kule. Kama hamtaki chanjo tokeni bungeni, mtutolee uchafu mule viongozi wazima mnapotosha jamii kwa vitu msivyokua na utaalamu navyo?

Kazi iendelee! Ndugai kamatia hapo hapo yule bwana asifikiri namna anavyoongoza kondoo wake wa kawe ataiongoza na Serikali hvyo hivyo
Jinga kabisa wewe nyumbu, umezoea udikteta wa Gaidi.
 
Chanjo ni hiari kimaneno ila uhalisia ni chanjo ya lazima
 
Mahakama mbona Zipo.sheria gani inasema usipochanjwa huingii bungeni?
 
Mleta mada kichwani uko sifuri hata haelewi kanuni na sheria za uendeshaji bunge!!! Unatia huruma umejaa ujinga uliopitiliza

Nini kifanyike bungeni huamuliwa na bunge iwe uingie na mavazi gani sio spika hicho kitu kinaitwa kanunni na hatungi Spika ni bunge na ndilo hupitisha sio spika

Safari hii Mama Samia ana kazi hivi vijinga eti ndio vishauri Jamii forums vya Raisi!!! Aisee

Hata Raisi akisikia huu ushauri hata Kama alikuteua lazima akutengue atajua kachagua bwege
 
Yaani safari hii nitanenepa sana sina wasi wasi na Serikali ya Rais Samia Chaguo la Mungu!

Katika zama ambazo nchi inaendeshwa kisomi ni zama hizi za serikali ya awamu ya 6, Nchi inaendeshwa kisomi sana, watu kama ndugai wameamua waachane na siasa za kiki warudi kwenye taaluma zao ila wakina gwajiporn ambao hawajasoma alama za nyakati wao wanafikiri bado tupo zama zile za sifa za kijinga watapata tabu sana,

Hii nchi tangu korona imepiga rasmi na watu kujitia hamnazo tumezika viongozi wengi sana ijapokua mamlaka husika zinadai walikufa kwa magonjwa mengine ila mwenye akili haitaji kujiuliza maswali mengi, hayo magonjwa mengine yalisubiri covid ije ndio yawauwe kwa kufuatana hv?

Angalia tangu march 2020 mpaka leo tumepoteza watu mashuhuli wangapi kwa vifo vya ghafla? Sasa sasa hivi tunasema vifo basi chini ya serikali inayoendeshwa kisomi ya Mama shupavu Samia suluhu Hasan iron lady,

Nchi ipo kwenye kampeni ya chanjo, chanjo inasaidia sana kudhoofisha ugonjwa angalia wenzetu nchi zilizotuzunguka mpaka sasa wamekufa viongozi wangapi ukilinganisha na Tanzania?

Kazi iendelee! Ndugai kamatia hapo hapo yule bwana asifikiri namna anavyoongoza kondoo wake wa kawe ataiongoza na Serikali hvyo hivyo
Simpendi NDUGAI ila KWA Ili kapiga kwenye mshono, Sasa ngoja tuwaone wanafiki,Gwajima na Polepole,
 
Back
Top Bottom