Spika Ndugai, waonee huruma akina Halima Mdee. Jela uliyowaweka inawatesa na kuwatweza, ifike mahali uwaache

Ukweli Ndugai amekosea , na sasa kwa sababu wameshajitungia sheria ya kutokushtakiwa, basi anachofanya ni ulevi na ubabe wa madaraka.
Mkuu si kakosea tu bali anakidhalilisha kiti cha Uspika...Hiki kiti kina heshima yake bwana toka Uhuru enzi za kina Adam Sapi Mkwawa..ila kwa sasaaaa hiiiiii......
 
Hao ni watu wazima, wacha wajisemee wenyewe. Kwani unadhani hawajui cha halali, au cha haramu!?.
 
Liangalie linaposti huku limekalia mpini
 
Usisahau kufika isikizya mzee tupatupa
 
Unataka wakulale??
 
Usiwatetee hao wanawake, Spika amewazuia nini kuondoka huko bungeni? hao ni walafi wa vyeo.
 
HALIMA hawezi pata bwana tena labda tu aendelee kugegedwa.
Hakuna mwanaume mwenye kutaka mwanamke muongo, anayepaya mali kwa dhuluma na muuaji.
NUSRAT HANJE ni muislam na eti amefunga, hii ni kufuru kwa allah
 
Hii ya Mdee &co ni ngumu sana kujisafisha, maana waliaminiwa sana na wananchi na chama pia. Wafanye maamuzi magumu. Wajiuzulu ubunge wao na wawaombe msamaha watanzania na chama. Watasamehewa.
 
Anzisha andiko mahususi kuhusu hilo sio kwenye uzi huu
 
... mbona rahisi sana; wajiuzulu huo ubunge feki! As simple as that wanakuwa huru!
Spika anaweza akaomba barua za vikao vya familia na ukoo, na kama katiba za familia zao zilifuatwa, na kutaka kujua pia kama waliohudhuria vikao ni ndugu kweli.... atataka pia DNA zipimwe, na sahihi zao pia ziende kwa mchunguzi wa maandishi, kisha waje na barua ya hospitali ku-prove kwamba walikuwa na akili timamu, kisha waje na barua ya TAKUKURU kuprove kwamba hawajahongwa... in short hawezi kukosa visingizio.

Rejea ubunge wa mbunge wa Ndanda, na ubunge wa kina Lijualikali et al, wakati bunge lililopita linaisha.
 
Muda si mrefu tutaanza kuimba palapanda Italia palapanda......
 
Unajifungua lini niandae zawadi?
 
Nasikia wao kwa wao hawaelewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…