1. Weka hadharani ripoti ya Richmond hasa ule upande uliouzuia kuiokoa Serikali.
2. Tujuze Watanzania kuhusu ule unga wa Bungeni.
3. Waeleze wazi kuwa huzitaki siasa za majitaka.
4. Pambana na mafisadi popote pale hasa wanaotaka kuiuza nchi yetu.
5. Weka wazi zile kashfa za meremeta,kagoda na tangold ulizozizuia Bungeni.
6............
Sitta naye ni mchafu vilevile, huwezi kwenda kujenga ofisi ya kifahari tena ya mamilioni jimboni kwako wakati wananchi wanalalamika kuwa hawana madawa kwenye dispensari. Ikitokea asishinde huo uspika au akavuliwa uanachama, then what? That's also called FISADILISM.