Spika Tulia aipa serikali miezi 3 kuleta taarifa kama ni kweli Tembo wanaua watu katika maeneo mbalimbali nchini

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Spika Tulia ameiagiza serikali kuleta taarifa bungeni iwapo malalamiko yaliyotolewa na wabunge kwamba Tembo wanauwa watu katika maeneo mbalimbali nchini yana ukweli wowote.

Spika Tulia amemwomba Waziri mkuu Mh Majaliwa taarifa hiyo hiyo iwe imefika bungeni ndani ya miezi 3 kuanzia leo.

Chanzo: Star TV bungeni
 
Hakuna lolote apo wanyama wamekuwa na thamani kubwa kuliko binadamu
 
Hakuna lolote apo wanyama wamekuwa na thamani kubwa kuliko binadamu
 

Taarifa ipelekwe kwenye hilo bunge kibogoyo?!
 
Ulitaka iletwe Ufipa st
Na wewe umeshaingia kwenye ule upuuzi wa MATAGA wasiojitambua!
Binafsi, naona huo muda ni mrefu sana! Kama taarifa, angeitaka kwa matukio ambayo yamekishatokea tayari. Hiyo miezi mitatu, labda kama anataka matukio mapya kutoka sasa!
 
Na wewe umeshaingia kwenye ule upuuzi wa MATAGA wasiojitambua!
Binafsi, naona huo muda ni mrefu sana! Kama taarifa, angeitaka kwa matukio ambayo yamekishatokea tayari. Hiyo miezi mitatu, labda kama anataka matukio mapya kutoka sasa!
Unajua kalenda ya bunge lakini?
 
Inamaana yeye hajui au kwa sababu yeye anaulinzi full?
 
Zinatafutwa sababu za
1. Kuvuna tembo ili wapungue watu wajilie mihela au
2. Kupata sababu ya kuwaondoa wamasai Ngorongoro kuwa wasiendelee kuuawa na tembo.

Ngonjera tu hizo.
 
Mm ninaishi maeneo Kama hayo.Ni kweli huko vijijini Tembo wameshaua Sana wananchi.Kwa kipindi Cha miaka mitano ,JPM alizuia Tembo wasiuliwe na binadamu.Kwa hiyo wamezaliana Sana.Kwa akili nyepesi na isiyohitaji kwenda chuo kikuu ,tungetenga vipindi vya miaka mitano mitano kuwawinda na mitano mingine kuwaua.Wananchi wangepewa kipaumbele.Tungekuwa matajiri Sana.
 
Spika hawaamini wawakilishi wa wananchi
 
Spika hayuko serious kila siku ITV inaripoti watu kuuawa yeye haoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…