Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Hapa ni Spika Tulia kwenye one and two akituonesha alivyobobea kwenye kuchanya saruji na kupangilia tofali kama picha zinavyoonesha. Nakumbuka na msanii Kigwa alipoenda kula kwa mama ntilie na yule aliyejifanya mkulima wa nyanya, na ukulima ukaisha aliporudishwa kwenye sistimu

Majimboni kumenoga kwelikweli!
Kupata matukio mengine ya vimbwanga wakati huu wa uchaguzi kwa wanasisa na watu wengine bofya hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye reli hatutoki lakini, Mchengerwa ukajibu maswali ya wananchi kuhusu daftari la makaazi, na useme taarifa za kata na mitaa za waliojiandikisha zinatolewa lini?
Hapa ni Spika Tulia kwenye one and two akituonesha alivyobobea kwenye kuchanya saruji na kupangilia tofali kama picha zinavyoonesha. Nakumbuka na msanii Kigwa alipoenda kula kwa mama ntilie na yule aliyejifanya mkulima wa nyanya, na ukulima ukaisha aliporudishwa kwenye sistimu

Majimboni kumenoga kwelikweli!
Kupata matukio mengine ya vimbwanga wakati huu wa uchaguzi kwa wanasisa na watu wengine bofya hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
