johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Spika usimguse huyu, alipo kawekwa na wakubwa !! kama walivyo wale waasi 19.Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na.kauli zake
Source: Channel ten
rudia tena...ati mbunge wa ?swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Chademarudia tena...ati mbunge wa ?
Huyo dogo ana maneno ya shombo sana, simkubali hata kiduchuSpika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na.kauli zake
Source: Channel ten
Ameanza mazoea.Awe makini asje kutoa mlio kama honi za mabasi ya New Force!Huyo dogo ana maneno ya shombo sana, simkubali hata kiduchu
Aliyevimbiwa mlungula wa kuiasi CDM.CDM product
Chadema ina mbunge mmoja tu bungeni kutoka jimbo la Nkasi.Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na.kauli zake
Source: Channel ten
NakaziaKuwa makini tu ama ajiuzuru ama aombe radhi
Zama zimebadilika, tukiandamana humu mtandaoni tu jamaa anaweza kung'oka!Spika usimguse huyu, alipo kawekwa na wakubwa !! kama walivyo wale waasi 19.
Mbona Ridhiwani hujamtaja?Huyo Katambi hata sifa ya uongozi hana nashangaa anakuwaje naibu waziri ndo Mana nchi haisongi mbele kwa aina hii ya viongozi.
.Katambi
.Mwiguli
.Nape
.J.Makamba
.Kijaji
.Mavunde
.Mhagama
.Mashimba
.Gwajima
.Umy Mwalimu
Hawa viongozi hawana ubunifu wowote kiutendaji kazi yao ni kulopoka tu ili waonekane wanafanya kazi lakini kiuhalisia hawana kitu Cha kudeliver .Na ajabu Hawa ndo Mama Samia anawategemea wafanye maajabu .
Huyu amebakizwa tu kwa sababu maalum isionekane kuna mkakati maalum wa kuwafagia Sukuma gang, lakini ni swala la muda akiweza kusurvive hadi 2025 wajumbe watapiga spana wenyewe, hawezi kushindana na Masele kwenye kura za maoni, huo ni ubunge wa kupewa tu na 2025 wenye chama chao wanachukuwa ubunge wao.Zaa zimebadilika, tukiandamana humu mtandaoni tu jamaa anaweza kung'oka!