Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Spika Tulia anataka kuwaletea ahueni watu wanaotiliwa mashaka na CAG Kichere ndiyo maana anasema mjadala (wa ripoti ya CAG) ufanyike Novemba.
Lakini kama CAG ameandika ile ripoti wale watu wanaweza kujojiwa na TAKUKURU, na DPP na kupelekwa mahakamani. Mambo yoyote yatayokuwepo katika ripoti ya CAG ambayo siyo clear yanaweza kuwa sorted out na mawakili.
Ni mara ngapi tumeona Mahakama wanaongea, wanaongea, wanaongea, halafu wanasema, mtu huyu ana kesi ya kujibu. Kwahiyo Mahakama haiwezi kumuonea mtu yoyote.
Lakini kama CAG ameandika ile ripoti wale watu wanaweza kujojiwa na TAKUKURU, na DPP na kupelekwa mahakamani. Mambo yoyote yatayokuwepo katika ripoti ya CAG ambayo siyo clear yanaweza kuwa sorted out na mawakili.
Ni mara ngapi tumeona Mahakama wanaongea, wanaongea, wanaongea, halafu wanasema, mtu huyu ana kesi ya kujibu. Kwahiyo Mahakama haiwezi kumuonea mtu yoyote.