Pre GE2025 Spika Tulia ashiriki ibada ya madhabahu ya sauti ya uponyaji. Mkienda na kwa waganga pia mturushie na picha!

Pre GE2025 Spika Tulia ashiriki ibada ya madhabahu ya sauti ya uponyaji. Mkienda na kwa waganga pia mturushie na picha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Huu ndio muda wa kujipendekeza kwa kila mtu mradi wapate kura, safari hii mkienda na kwa waganga mtupigie pia na picha. Msiwafiche fiche wakati tunajua na huko mnafika, kweli uongozi mtamu :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:.

====

Screenshot 2024-11-24 205206.png

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada katika Madhabahu ya Sauti ya Rehema, Isyesye, jijini Mbeya. Akiwahutubia waumini, Dkt. Tulia amehimiza umuhimu wa kuombea amani ya nchi na kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Screenshot 2024-11-24 205152.png

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema ni jukumu la waumini kusikiliza sera za wagombea na kupiga kura ili kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo. Pia, aliwashukuru kwa maombi yao kwa viongozi wa taifa, akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.

Screenshot 2024-11-24 205215.png

Mchungaji Patrick Mwalusamba amepongeza juhudi za Dkt. Tulia katika majukumu yake na kuhimiza waumini kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa ajili ya kudumisha amani na maendeleo.
 
Wakuu,

Huu ndio muda wa kujipendekeza kwa kila mtu mradi wapate kura, safari hii mkienda na kwa waganga mtupigie pia na picha. Msiwafiche fiche wakati tunajua na huko mnafika, kweli uongozi mtamu :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:.

====


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada katika Madhabahu ya Sauti ya Rehema, Isyesye, jijini Mbeya. Akiwahutubia waumini, Dkt. Tulia amehimiza umuhimu wa kuombea amani ya nchi na kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.


Amesema ni jukumu la waumini kusikiliza sera za wagombea na kupiga kura ili kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo. Pia, aliwashukuru kwa maombi yao kwa viongozi wa taifa, akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.


Mchungaji Patrick Mwalusamba amepongeza juhudi za Dkt. Tulia katika majukumu yake na kuhimiza waumini kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa ajili ya kudumisha amani na maendeleo.
Wewe Cute wife sio rahisi hivyo labda sivuje au waganga wafunge cctv camera 😀
 
Wakuu,

Huu ndio muda wa kujipendekeza kwa kila mtu mradi wapate kura, safari hii mkienda na kwa waganga mtupigie pia na picha. Msiwafiche fiche wakati tunajua na huko mnafika, kweli uongozi mtamu :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:.

====


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada katika Madhabahu ya Sauti ya Rehema, Isyesye, jijini Mbeya. Akiwahutubia waumini, Dkt. Tulia amehimiza umuhimu wa kuombea amani ya nchi na kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.


Amesema ni jukumu la waumini kusikiliza sera za wagombea na kupiga kura ili kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo. Pia, aliwashukuru kwa maombi yao kwa viongozi wa taifa, akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan.


Mchungaji Patrick Mwalusamba amepongeza juhudi za Dkt. Tulia katika majukumu yake na kuhimiza waumini kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa ajili ya kudumisha amani na maendeleo.
Hata hapo madhabahuni kwa mganga tu.

Kote wanatafuta miujiza.
 
Mgaga huyu anaheshimika hadi picha anapigwa, tunataka wale wenye wanawapa hirizi za kutembea nazo kiunoni
Mmeamua kumuheshimu tu, lakini wote waganga tu.

Hapo kinachotafutwa ni miujiza tu, mganga awe wa kanisani au wa tunguli shughuli ni moja tu, kutafuta miujiza.
 
Back
Top Bottom