Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Halima na wenzake wapewe muda kama ni rufaa au ku-file upya vyote vifanyike.
Wakati huo waendelee kuwakilisha wanaChadema bungeni.
Lakini Mbowe anawatawala kidikteta kwa katiba mbovu na hawalalamiki? Halafu hawa kina dada wanawamaindi namna hii? Spika Tulia tumia busara kuwalinda hawa akina dada.
Wakati huo waendelee kuwakilisha wanaChadema bungeni.
Lakini Mbowe anawatawala kidikteta kwa katiba mbovu na hawalalamiki? Halafu hawa kina dada wanawamaindi namna hii? Spika Tulia tumia busara kuwalinda hawa akina dada.