johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Natoa tu ushauri kwa kiti cha Spika kwamba siyo vema wala haki kuruhusu wabunge kuchochea chuki na fitna kwa jamii tena kwa watu ambao hawako bungeni.
Nilivyomsikia Mbowe ni kwamba biashara zake zimefungwa na TRA baada ya kushindwa kulipa kodi ya tsh 2 bilioni ambayo anaipinga.
Mbowe aliongea kupitia press na wananchi wengi walimsikia.
Sasa anapoibuka mbunge Ngonyani na kumshushia tuhuma Mbowe na familia yake na kiti kinakaa kimya hii si haki.
Kazi Iendelee
Nilivyomsikia Mbowe ni kwamba biashara zake zimefungwa na TRA baada ya kushindwa kulipa kodi ya tsh 2 bilioni ambayo anaipinga.
Mbowe aliongea kupitia press na wananchi wengi walimsikia.
Sasa anapoibuka mbunge Ngonyani na kumshushia tuhuma Mbowe na familia yake na kiti kinakaa kimya hii si haki.
Kazi Iendelee