Spika wa Bunge la Tanzania kwa heshima yake alitakiwa ajiuzulu, analidhalilisha bunge

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
"Mwenye shibe hamjui mwenye njaa"
 
List ni ndefu lakini hakuna aliye tayari kuachia ngazi
 
Siku hizi hata maswali kwa Waziri Mkuu anajibu yeye.
 
Mnafiki, mnafiki. Uliporuhusu na kupitisha ile sheria ya hovyo kuwapa Tisa kinga ya kutoshtakiwa, na uwezo wa kukamata bila kuhojiwa ,ulitegemea nini?
 
Bora angenyamaza tu, sio kwa hili boko alilo litowa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…