Spiritual church, Demons and Witchcraft

Spiritual church, Demons and Witchcraft

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,415
Habari gani wandugu!

Ningependa kujua kipi muhimu cha kufanya unapokuwa kwwnye kanisa la kiroho ili kuweza kupata delivarance kutoka katika uchawi na majini machafu!?

Maana kuna watu hawapati majibu ya maombi yao licha ya kuomba na kusali kwa muda mrefu kanisani! Ilhali kuna baadhi wanaopata matokeo ya maombi yao muda mchache baada ya kuomba.

Kuna mechanism gani nyuma ya nadharia hii ya kusali na kujibiwa maombi na wengine wasipate majibu!

Karibuni waungwana!!
 
Habari gani wandugu!

Ningependa kujua kipi muhimu cha kufanya unapokuwa kwwnye kanisa la kiroho ili kuweza kupata delivarance kutoka katika uchawi na majini machafu!?

Maana kuna watu hawapati majibu ya maombi yao licha ya kuomba na kusali kwa muda mrefu kanisani! Ilhali kuna baadhi wanaopata matokeo ya maombi yao muda mchache baada ya kuomba.

Kuna mechanism gani nyuma ya nadharia hii ya kusali na kujibiwa maombi na wengine wasipate majibu!

Karibuni waungwana!!

Kama uko Dar...Cku za ijumaa na Jmosi kuanzia sa 4 asubuhi na kila J2 asubuhi Nenda pale KKKT USHARIKA wa KIMARA utapata majibu yako ndg....
 
Mazingaombwe tu kama yale mazingaombwe mengine.
 
Habari gani wandugu!

Ningependa kujua kipi muhimu cha kufanya unapokuwa kwwnye kanisa la kiroho ili kuweza kupata delivarance kutoka katika uchawi na majini machafu!?

Maana kuna watu hawapati majibu ya maombi yao licha ya kuomba na kusali kwa muda mrefu kanisani! Ilhali kuna baadhi wanaopata matokeo ya maombi yao muda mchache baada ya kuomba.

Kuna mechanism gani nyuma ya nadharia hii ya kusali na kujibiwa maombi na wengine wasipate majibu!

Karibuni waungwana!!

Hata mimi hapa wakikujibu watakuwa wamenisaidia sana, maana ni kama ulikuwa kichwani mwangu.
 
Deliverance ya kweli inaanzia pale unapomkaribisha Yesu Kristo moyoni mwako. Kumbuka nuru na giza havichangamani na Yesu ni nuru na giza ni hivyo ulivyovitaja hapo juu. Baada ya kuwa na nia ya kweli na thabiti ya kuipokea nuru automatically hivyo vitu vinaanza kutoka vyenyewe.

Ukiwa chini ya uongozi mzuri wa kiongozi wa kiroho atakufundisha ni jinsi gani ya kukaa mbali na vitu au tabia za kuvikaribisha hivyo vitu tena huku ukimjua Yesu Kristo zaidi na imani (kinga) yako kukua.

Maombi ya mara kwa mara hujenga imani ya kupata kile ukitakacho mwishowe hukipata. Wengine hawajibiwi mapema au hawajibiwi kabisa maombi yao kwasababu ya kusita sita katika kuamini kwao juu ya hayo mam
 
ukimuomba mungu kwa imani,matumaini na maleongo anakupatia fasta.lakini ili uwe tayari kupokea nilazima ukubali kutoa,namaanisha inabidi uvunje ukuta uliojiwekea baina yako na mungu nao ni dhambi hata zile za mauti.mfano wewe ni mzulumati au unafanya ngono ovyoovyo kwa kuvunja amri za mungu na unamuomba mungu akufanye ufanikiwe katika biashara yako;ndugu hapo mungu atakuwekea kizuizi kwa sababu anataka kukuokoa na kwa kawaida mungu hutumia njia ngumu na zisizo za kifikirika ili kukuokoa.Lakini unaweza kusali kwa imani pamoja na yote na ukaishi maisha kamili ya kiroho pasi na dhambi za mauti(namaanisha zile za kuvunja amri za mungu) lakini mungu anachelewa kukujibu,hapo mungu anapima uvumilivu,matumaini na imani yako na huenda anataka kukuokoa na kiti au jambo fulani.Lakini kamwe haiwezekani ukaomba alafu ukakaa tu kama kabeji inasubiri mvua ichipue vizuri, ni lazima upige kazi,utafuta njia thabiti na namna mbalimbali za kufikia ombi lako. "yesu kristo alioneshwa mateso atakayopitia na mungu baba yake akatokwa na jasho la damu na kuogopa sana lakini ilikuwa haina budi alikubali na akasema kama kikombe hicho cha mateso hakiwezi kumuepuka basi mapenzi ya mungu yatimizwe" na kweli wayahudi walimpa kibano wakamuuwa pale kwenye mti wa msalaba ambapo kifo kile kilikuwa kinatafsiriwa ni cha laana na wayahudi. karibu kanisa katoliki parokia au kigango chochote kilicho karibu yako mtafute katekista/mwalimu wa kanisa au watumishi wengineo/waamini ili usali na ufundishwe sala.
 
Back
Top Bottom