Jaman hv nan anawajua hawa wa2,wanasema wanadhamn wanafunz wa vyuo vkuu,m n m1 wapo ambae nliaply na walnjb omb langu lmekubarka,na kunahd kuningza mahtaj yangu kwenye a/c,lkn n miez ming imepita bla kufanya walchonaid,je kuna m2 mwenye kuwafaham hawa watu vzur,mana wamepata wanavyuo wengi
samahan nmeweka kwenye jukwa la siasa kwan namin hapa ndo weng huwa wanainga,