Hi to all, Baada ya tegemeo langu kupotea, natafuta private sponsorship ili niweze kujiunga na chuo mwaka wa kwanza wa diploma of IT (IFM) mapema mwezi huu baadaya kuchaguliwa kuendelea. Kuna mwenye uelewa wa namna na kutafuta sponsors? Naombeni mnisaidie! tuwasiliane kwa namba:0652647020, 0755300877