ila nackia mwaka huu kn siasa zimeingilia kati hpo,wazee wa wizaran nao wanazitolea macho hzo hela hadi Dvc kawaacha awaone nani ataenda kusoma bila hlo fungu!
pia nackia bb mwanaasha ana tour hpo chuon kbl y trh 10 sa lbd wanamngoja ili aje atangaze yy!
nami nangoj wakuu,any update pls mnijuze!