Ndo inavotakiwa iwe hivyo,kikizidi kua chakimbea ndo waangaliaji wanaongezeka..mbona kina vipindi kama hivyo vingi tu kwa wenzetuNimejaribu kufuatilia mahojiano mengi anayofanya huyu dada kwenye kipindi chake cha Sporah Show, kuna vitu ananishangaza, kupenda kuuliza maswali ya ajabu ajabu yasiyohusiana na kazi (maswali ya private life), na pia kubwa zaidi lililonifanya nifungue huu uzi ni hili la kupenda Sana kuulizia ishu za mapenzi (mahusiano), hata Kama huyo muhojiwa hapendi kuzungumzia atamchokonoa tu, nimejikuta nikitamani kuijua CV yake kwa wanaomjua wenda ana degree ya mahaba namlaumu bure!
Mfano mahojiano haya
https://m.youtube.com/view_comment?v=00OaXPtGSwU&hl=en&gl=TZ&client=mv-google&t=CtoBCsEBCr4B/8Py8dTt3tLqAY/Dp6bRyceooQG7rIuAmZK7nXn5p6Xd8eLmnAqc5v7VqZSu89wBv9WLhJ7ri4SXAeTnkbTqnuKb/AHC+qKE+N39kxKs2+uIlpqg/eYB4JCl59q71eymAcjArryklK/5XMbHttv74Lev1gGr6a3Dzoqzwyyzn7vdxtCZk1Wdu4nLwu286v0B2MLDu/ffpIFH/ofjwffBvqhx1YWXjvCLvsFG0Nzdzsznw4OAAfX8wcD/04HCFBDdpKPlkPLKAhioqeX/+/DKAiAAKAMSZAgBEKip5f/78MoCKlfm3+PO+df35Q/mlbmxhfCixYEBm6HBzq+l+PnbAcKR8KmRppq42AHprcb636m5wfMBmtz43Lf+1ovDAa6NoNCc8MHOVOOr86uDo9qBqQGD6KDxv5+94QsYASAdKKGW3Yq46LOQJg==
umbea uwepo ila isiwe too much, kutumia mda mwingi kuulizia mambo ya mahaba na bifu kuliko mziki wa msanii sio sawaNdo inavotakiwa iwe hivyo,kikizidi kua chakimbea ndo waangaliaji wanaongezeka..mbona kina vipindi kama hivyo vingi tu kwa wenzetu
Umepaniki babu... halafu housegal ndo kitu gani ? Ukitaka kumtusi mtu siku nyingine nenda kwenye kamusi kwanza ili usichapie kama ulivofanyaMpelekee wewe housegal wake
sawa babu wa division 5 tuko pamojasawa bekitatu
Salama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.Mie humsikiliza Salama bin Jabir
Hiyo ndio sera ya kipindi chake,kama hupendi angalia wanawake live,huwezi kulazimisha unayoyataka weweNimejaribu kufuatilia mahojiano mengi anayofanya huyu dada kwenye kipindi chake cha Sporah Show, kuna vitu ananishangaza, kupenda kuuliza maswali ya ajabu ajabu yasiyohusiana na kazi (maswali ya private life), na pia kubwa zaidi lililonifanya nifungue huu uzi ni hili la kupenda Sana kuulizia ishu za mapenzi (mahusiano), hata Kama huyo muhojiwa hapendi kuzungumzia atamchokonoa tu, nimejikuta nikitamani kuijua CV yake kwa wanaomjua wenda ana degree ya mahaba namlaumu bure!
Mfano mahojiano haya
https://m.youtube.com/view_comment?...r86uDo9qBqQGD6KDxv5+94QsYASAdKKGW3Yq46LOQJg==
Salama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.
Product ya Arusha School.kamaSalama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.
kwa sababu eti wanaongea kiingereza vizur na wameishi marekani, wanasahau kuwa ENGLISH IS THE LANGUAGE, NOT A MEASURE OF INTELIGENCEhao uliowataja ndio vichwa mnavyojivunia shuleni kwenu?
Nasikia ma lesbian/mashoga wanakua wana talent ya ajabu sana na wana uwezo wa kufanya mambo makubwa ambao watu wa kawaida hawawezi, salama ni mmoja wao, yule dada ana kipaji na utashi wa hali ya juu, huwa namfananisha na yule mtangazaj wa mbele hellenSalama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.