Sporah Njau wa kipindi cha ''The Sporah Show''

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Nimejaribu kufuatilia mahojiano mengi anayofanya huyu dada kwenye kipindi chake cha Sporah Show, kuna vitu ananishangaza, kupenda kuuliza maswali ya ajabu ajabu yasiyohusiana na kazi (maswali ya private life), na pia kubwa zaidi lililonifanya nifungue huu uzi ni hili la kupenda Sana kuulizia ishu za mapenzi (mahusiano), hata Kama huyo muhojiwa hapendi kuzungumzia atamchokonoa tu, nimejikuta nikitamani kuijua CV yake kwa wanaomjua wenda ana degree ya mahaba namlaumu bure!



Mfano mahojiano haya
https://m.youtube.com/view_comment?...r86uDo9qBqQGD6KDxv5+94QsYASAdKKGW3Yq46LOQJg==
 
Ndo inavotakiwa iwe hivyo,kikizidi kua chakimbea ndo waangaliaji wanaongezeka..mbona kina vipindi kama hivyo vingi tu kwa wenzetu
 
Ndo inavotakiwa iwe hivyo,kikizidi kua chakimbea ndo waangaliaji wanaongezeka..mbona kina vipindi kama hivyo vingi tu kwa wenzetu
umbea uwepo ila isiwe too much, kutumia mda mwingi kuulizia mambo ya mahaba na bifu kuliko mziki wa msanii sio sawa
 
mimi nanavojua hana mume , niliwahi kuangalia kipindi chake flani alisema hivo...

kwa hiyo vijana nafasi ipo wazi... ila kwa wenye nia ya kuoa tu
 
Hiyo ndio sera ya kipindi chake,kama hupendi angalia wanawake live,huwezi kulazimisha unayoyataka wewe
 
Salama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.


Nilimsikia Salama anamwambia yule mjomba wa pembeni pale salon, sijui Ni mtangazaji mwenzie, embu fungua vifungo vya koti usije kujamba hapa. Halafu akaendelea kuongelea mashuzi na kujamba kumtoa nishai yule mjomba ikabidi niachane na kipindi chenyewe. Mi siwezi kufanya kazi na mtu kama yule naweza kumpa makofi bure.
 
Salama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.
Product ya Arusha School.kama
Mangi Kimambi
Miriam Odemba
Vanessa Mdee
Feza Kessy nk
Shule imetoa vichwa
 
Salama Jabir ni best interviewer wa entertainment, huyu sporah nasikia alikuwaga wale wadada wa pale kinondoni long time, anapenda sana maswali ya mahaba.
Nasikia ma lesbian/mashoga wanakua wana talent ya ajabu sana na wana uwezo wa kufanya mambo makubwa ambao watu wa kawaida hawawezi, salama ni mmoja wao, yule dada ana kipaji na utashi wa hali ya juu, huwa namfananisha na yule mtangazaj wa mbele hellen
 
kwa sababu eti wanaongea kiingereza vizur na wameishi marekani, wanasahau kuwa ENGLISH IS THE LANGUAGE, NOT A MEASURE OF INTELIGENCE
kumbe ndo katumia vigezo hivo, basi sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…