OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa hiyo mpira uko hewani?Mechi inaanza saa 9 kamili wadau
Masoud Djuma yuko vizuri wachezaji wanamuelewa sanaHuyu kocha hana sababu za kuwa Simba,
Kocha haeleweki.Unamuingiza Kaheza,dakika 8 anamtoa
Leo tunawakalisha hao mapimbiSesten Zakazaka, Ghazwat, aminas, King Ngwaba Mshuza2, barafuyamoto, 3llyEmma , OKW BOBAN SUNZU kila la kheri kwenu Watani zangu
Umefikri simba ni kama yanga?Simba wanafungwa 4 kule kenya hakuna marefa wa kuwabeba
Hahaaaaaa. Ndio aiseee.Leo tunawakalisha hao mapimbi
kelele nyingi tupeni matokeoMikia mbona wako kimya sana? Kulikoni jamani?
Nashangaa hata mie Mkuu. Labda game ikiisha ndio watakuja wajinadi. Teh teh.Mikia mbona wako kimya sana? Kulikoni jamani?
Nasikia bila bilangap ngap huko wakuu?.
tunasubiri matuta ivi ukiisha ivi mini kinafuata.....Nashangaa hata mie Mkuu. Labda game ikiisha ndio watakuja wajinadi. Teh teh.
Nasikia dk 90 tayari, yamepewa dk 6 yabadili matokeo. Mikia bana, yatakuja na soga, sisi tumetoa drooNashangaa hata mie Mkuu. Labda game ikiisha ndio watakuja wajinadi. Teh teh.