Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
kwani wako kwenye matuta?Updates ya Matokeo ya mtanange wa fainali kati ya Gor Mahia ya Kenya na wauza sura (simba sc) kutoka KariaKoo.
Hivi sasa ni Gor Mahia 1 - 0 Simba SC.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lolHaswaaaaaa!!!
Unavyoripoti kwa chuki inakuwa si rahisi kuamini kama kweli haya ni matokeo halisi.Updates ya Matokeo ya mtanange wa fainali kati ya Gor Mahia ya Kenya na wauza sura (simba sc) kutoka KariaKoo.
Hivi sasa ni Gor Mahia 1 - 0 Simba SC.
Hahaaa. Sesten umejua kunichekesha lol.Tusiandikie wino wakati mate yapo
watakuja na visingizio mara okwi na boko hawapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
Leo lazima kuzizime humu. Sababu watani wanakuwaga na tambo sana.
Namba moja sawaHongera Singida United
Kila la heri Gor Mahia Chama Kubwa..!
Kumbe lenu moja na Hajar uzalendo unawashinda eeh? Basi tusikimbiane baada ya dk 90naaam Mkuu...
Muulize Hajar atakwambia
Hahaaa. Walishaanza visingizio tangia mechi ya kwanza hivyo tutaona ni maneno zilipendwa tu hayo.watakuja na visingizio mara okwi na boko hawapo
Mbn mapema mno kuanza lawamaHuu usajili wa Mohammed Rashid kutoka Prison hautakuwa na manufaa kwa Simba. Ni mchezaji wa kawaida mno mno
Nipo nipo nafatilia mtani ushindi lazima SIMBA MOJA NGUVU MOJAUnaangalia Mpira lakini Mtani?
Sawaaa haina shidaKumbe lenu moja na Hajar uzalendo unawashinda eeh? Basi tusikimbiane baada ya dk 90
Nawasikitikia sanaHahaaa. Walishaanza visingizio tangia mechi ya kwanza hivyo tutaona ni maneno zilipendwa tu hayo.
Mie kwa Simba uzalendo siuwezi kabisa. Ila kwa Singida niliruka na kuruka kufurahia ushindi.Kumbe lenu moja na Hajar uzalendo unawashinda eeh? Basi tusikimbiane baada ya dk 90
Dah! Yaleyale ya mfupa hauna ulimi Hajar......haya narekebisha tusiandikie mate wino ungalipo bibie, kaa kitako hapohapo kwenye luninga yako halafu uangalie vijanaHahaaa. Sesten umejua kunichekesha lol.
Sasa mate yanaandikiwaje au ndio umeshaanza kuvurugwa na kipigo. Teh teh.
Hapo wanavuta kasi utawaona Simba akikomboa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawasikitikia sana