Clouds ni ya kusaga na Wasafi Media mmiliki ni kusaga family(majority shareholder) vile vile.
Kwa hio hamna kilichoharibika maana zote ni zake.
Hahahah baada ya kuona umewekwa kwny angle imebidi ule kona chap chap.
Nenda kaulize walimu wako nini maana ya Majority Shareholder na ukitoka hapo waulize tena nini maana ya Controlling interest,then rudi hapa tu discuss.
Asubuhi kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 5 asubuhi pia wapo kwenye sport court saa 12 na nusu jioni mpaka saa 2 usiku
Asubuhi kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 5 asubuhi pia wapo kwenye sport court saa 12 na nusu jioni mpaka saa 2 usiku
Wasafi TV siku za karibuni ni kama hawarushi hivi, nimejaribu ku tune huwa nakuta miziki tu
Founder wa wasafi media na ceo wa wasafi media ni Nani?
wa kupuliza we ni mweupe kabisa katika maswala ya umiliki wa hisa za makampuni
~Microsoft - Balmer 28% na Bill Gates 24%
~Facebook - kuna jamaa ana 30% na Mark ana 25%
Sasa je unaweza kuwatenganisha Microsoft na Bill Gates? Au Mark Zuckerberg na Fb? Eti "majority shareholders"... Tutolee ushamba wako hapa
Wewe ni empy nenda tena shule.Ndio shida ya elimu za ku-google.
Pamoja na kwamba wewe ni zuzu pengine haujui hata Steve Job pamoja na kua ni Founder&CEO wa Apple alifukuzwa kua CEO wa Apple mwaka 1985 wkt Co. ilikua ni yake.
Tafuta elimu dogo
Mbona unamkemea mtu anayekwambia ukweli 51% ya Mrs kusaga inaweza kuteuwa CEO mwingine ,kumbuka concepts za controlling interest ,general meetings ,boards appointments ni jambo la kawaida sana ,ukianzisha kampuni na ukawa na share kidogo mwenye nyingi anaweza kukunyanganya uongozi huku ukitoa macho ,na kisheria CMG ina controlling interest na wasafi maana mmiliki wa wasafi kwa majority decision ndio mmiliki mmojawapo wa CMG,Diamond kuwa salama ni lazima anunue share za mrs Kusaga au restructure ya shareholding ifanyike siku wakiamka vibaya utasikia Shafih Dauda kateuliwa na board ya wakurugenzi kuwa CEO wa wasafiWewe ni empy nenda tena shule.
Acha utani mzee baba founder wa Wasafi media ni diamond anaanze kutulewa? hiz akili zenu Zina matatizo natamani niwafafanulie vizuri ila Leo sijisikii kuandika comment ndefu.Mbona unamkemea mtu anayekwambia ukweli 51% ya Mrs kusaga inaweza kuteuwa CEO mwingine ,kumbuka concepts za controlling interest ,general meetings ,boards appointments ni jambo la kawaida sana ,ukianzisha kampuni na ukawa na share kidogo mwenye nyingi anaweza kukunyanganya uongozi huku ukitoa macho ,na kisheria CMG ina controlling interest na wasafi maana mmiliki wa wasafi kwa majority decision ndio mmiliki mmojawapo wa CMG,Diamond kuwa salama ni lazima anunue share za mrs Kusaga au restructure ya shareholding ifanyike siku wakiamka vibaya utasikia Shafih Dauda kateuliwa na board ya wakurugenzi kuwa CEO wa wasafi
Jamaa mmoja ndio nini? au nani....?Wamiliki wa wasafi ni 3 diamond, Mrs kusaga na jamaa mmoja.
Huyo ni Diva anataka tu kuiaminisha watu kwamba Domo hana kitu pale!Mambo ya makampuni ya uwendeshaji wa hisa hujui kabisa alafu nimesomea masuala ya biashara by professional naona hapa nitatumia nguvu nyingi kukuelewesha alafu bahati mbaya me silipwi
Ndio shida ya elimu za ku-google.
Pamoja na kwamba wewe ni zuzu pengine haujui hata Steve Job pamoja na kua ni Founder&CEO wa Apple alifukuzwa kua CEO wa Apple mwaka 1985 wkt Co. ilikua ni yake.
Tafuta elimu dogo
Mbona umewalenga Clouds FM na sio E. FM ilhali pana mtangazaji katokea huko (E fm)?Kabla ya hii Derby ya Kariakoo nilikuwa nikifuatilia kwa karibu sana aina ya uchambuzi uliokuwa ukifanya Kati ya Wasafi FM na ndugu zetu waliokwisha poteana Kwenye tasnia nzima ya habari yaani Clouds FM. Sifichi nawasifu sana akina kumwembe, Hambangile na meza yenu nzima kwa ku keep usawa na ukweli uliopelekea kuona usahihi wa hii derby.
Kwaherini Clouds FM Mungu awajalie mzidi kudidimia kila siku.