SportsPesa Cup: Yanga 2 - 3 Kariobang Shark

Anasemaga nani kwamba Yanga hawana hela ?
Asiye na hela anaweza kwenda kwa usafiri wa ndege katika safari za kucheza mechi za mikoani ?
Yanga pesa wanayo ila haizifikii timu za Simba na Azam.


Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hizo siyo pesa bali ni vijisenti tu vya kuzugia ili akomae vzr kimaisha ktk soka, lkn hakuna asiyeelewa ukata alionao Yanga hadi sasa hivi pale jangwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…