Mkuu, ebu check na hawa jamaa wa Water Sprinkler Head.habari wadau,
nina shamba langu la hekari mbili na ninatka nifanyanye kilimo cha umwagiliaji wa kutumia gun sprinkler, naomba mnisaidie ni gun sprinkler ipi nzuri kwa kutumia kwenye kilimo cha mahindi, na chanzo changu cha maji ni kutoka ziwani, umbali wa shamba kutoka ziwani ni mita 100 na pump yangu outlet yake ni inchi 3
asante sanaMkuu, ebu check na hawa jamaa wa Water Sprinkler Head.
Namba zao za simu ni 0659074121
View attachment 1039765
Pamoja chiefasante sana