Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wapendwa nimeamua kutekeleza kwa vitendo zaidi ya mara ya kwanza kauli ya Mkulo kuwa kila Mtanzania ale kwa jasho lake... so nimeamua kuanzisha huduma ya ku-analyse data kwa kutumia SPSS kwa wale ambao watahitaji.
Napatikana wapi, Contacts zangu ni zipi, wewe ni PM tu tutamalizana huko huko pia kwa wale ambao watahitaji kusaidiwa kutengenezewa Research Titles ( Researchable ones) pamoja na ku-formulate tools kwa ajili ya hiyo research usisite kuni-PM bei ni kawaida tu.
Please take it serious. Naona kajimshahara kanaishia njiani hakafiki hata nyumbani.
Napatikana wapi, Contacts zangu ni zipi, wewe ni PM tu tutamalizana huko huko pia kwa wale ambao watahitaji kusaidiwa kutengenezewa Research Titles ( Researchable ones) pamoja na ku-formulate tools kwa ajili ya hiyo research usisite kuni-PM bei ni kawaida tu.
Please take it serious. Naona kajimshahara kanaishia njiani hakafiki hata nyumbani.