Sr. Beata wa Nyakahoja Primary hongera kwa jubilee ya miaka hamsini ya utawa

Inaonyesha ana utulivu wa nafsi japo inawezekana anapitia mambo mazito tofauti na tunavyomfikiria.

Hongera kwake
Mkuu ni kweli kwa maana Mungu aliiumba watu na matamanio yao siyo watawa na utawa wao
 
akikuta kitanda Cha padri alichozoea kujitandikia kimetandikwa na mtawa mwezake sio ugomvi huo au mtawa mwezake kamuhudumia bia padri kelele si za nchi hii ,za URUSi
Ni mkorofi sana huyo sister msimuone hivyo, na ni mkali hatari. Kuna mwenzake pia mkuu wa shule ya HOLY FAMILY'S GIRLS SEC SCHOOL. Anaitwa sr edwadina...wote kundi moja

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…