Nahisi binadamu anaminya batani ya start kisha mambo yanajipa. Haitofautiani na yale mabonanza betis kumpiga liver 8-0 kawaida tu kwenye michezo hii. Yaani ile ni kubashiri kweli maana hakuna mwenye uhakika na matokeo ya mwisho. Sikushauri ubet michezo hiyo kama huna bahati sana.