SSC bado hamjajipata , msihadaike na goli 3

SSC bado hamjajipata , msihadaike na goli 3

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Kiukweli Yanga wapo kwenye peak , sio kwa sababu ameshinda tu bali hata mpira unavyochezwa unaona kabisa kuna flow na chemistry nzuri baina ya wachezaji.

Kuna nafasi kubwa Yanga akatoboa makundi, na Yanga akitoboa makundi basi atacheza nusu fainali.

Mimi naamini nusu fainali ya CAF itaanza kuchezwa na Yanga.

SSC yupo kwenye comfort zone sana na viongozi wake ni hamna kitu vichwani mwao, no science ya football no analysis ….. ni siasa siasa za kulinda vyeo vyao.

SSC inahitaji CEO kijana mwenye UWEZO, sambamba na vijana wengine wenye IQ na mtazamo chanya na kuiangalia SSC nje ya box .

Sio kuwekeza kwenye taarabu za mitandao na vitu vya hovyo vya kucheza na media . Mpira ni kazi na sio mambo ya kujaribu.

SSC pia ameshinda bila ya kuruhusu goli, this is good but bado simba wanahitajika kufanya reform na kuachana na baadhi ya players

Kuna namna timu ime improve lakini umahiri na umakini haupo.

Kama kweli bajeti ya SSC kwa mwaka ni 24B , SSC ifanye usajili wa maana kwa kuangalia mapendekezo ya kocha.

Hapa kuna shida, hawa viongozi wa SSC ambao wengi ni wazee ni vilaza na wanapenda ten percent mno.

Kocha anaweza kuja na plan nzuri wao wakavuruga…… this time mkizingua we will deal with you individually mkakae makwenu mle pension .

It is clear kwamba ni lazima hao kina boko, mzamiru. Mikison, Kennedy , manula, na wengineo waachwe na watafutwe vijana ambao watagrow kwenye timu kimkakati na kiushindani.

Africa wapo wengi sana.

Huyo Charma. Kapombe, Hussein wote watafutiwe mbadala na waanzie nje.

Timu ni lazima ifanye usajili bila ya excuses kama kweli mnataka ushindani wa klabu bingwa na kocha aachwe kufanya kazi yake.

Mpira ni investment kwenye wachezaji na sio social media investment, ishu ya social media iwe ni by product na sio core goal hii kitu iwe clear kwenu. Kwenye pitch SSC haipo sawa bado

Halafu SSC na Yanga ni wakati sasa muwe na Viwanja vyenu. Nyie ni taasisi kubwa na mnatia aibu big time.

Influencer
 
Simba wana asilimia chache sana za kuvuka hatua ya makundi msimu huu ukilinganisha na kaka yake Yanga! ambaye anatakiwa kushinda mechi zake mbili tu za nyumbani, halafu anatoa droo moja; tayari robo fainali.
 
Simba wana asilimia chache sana za kuvuka hatua ya makundi msimu huu ukilinganisha na kaka yake Yanga! ambaye anatakiwa kushinda mechi zake mbili tu za nyumbani, halafu anatoa droo moja; tayari robo fainali.
Kwa kigezo hiki pekee hata 5imba ana asilimia kubwa ya kuvuka hata ya makundi kuliko kaka zao Uto.
 
Simba wana asilimia chache sana za kuvuka hatua ya makundi msimu huu ukilinganisha na kaka yake Yanga! ambaye anatakiwa kushinda mechi zake mbili tu za nyumbani, halafu anatoa droo moja; tayari robo fainali.

Na hakika anashinda

Simba hatoboi, this time hatoboi. Hakuna forward aggressive ambae anauchu na goli. Utaona wanakosa kosa magoli mengi sana hadi dakika 90 zinaisha kama ilivyokuwa mechi yao ya juzi
 
Na hakika anashinda

Simba hatoboi, this time hatoboi. Hakuna forward aggressive ambae anauchu na goli. Utaona wanakosa kosa magoli mengi sana hadi dakika 90 zinaisha kama ilivyokuwa mechi yao ya juzi
Ila kwa viwango vya sasa, Medeama ni wagumu kuliko Wydad. Yanga ana mechi ngumu zaidi kuliko mechi ya Simba dhidi ya Wydad.
 
Simba Pekee Inalipa Heshma Taifa La Tanzania
 
Ila kwa viwango vya sasa, Medeama ni wagumu kuliko Wydad. Yanga ana mechi ngumu zaidi kuliko mechi ya Simba dhidi ya Wydad.

Hawana ugumu
Wànapigika
Hata ile game ya kwao. Ilionesha wazi wao ni kama simba iliyochangamka
Watakufa Tano
 
Hawana ugumu
Wànapigika
Hata ile game ya kwao. Ilionesha wazi wao ni kama simba iliyochangamka
Watakufa Tano
Labda unamaanisha sio wagumu kwa Yanga, ila unasemaje sio wagumu ilihali Belouizdad kashindwa kupata hata point moja kwa Medeama? Hata Al Ahly walishindwa kuwafunga Medeama kipindi cha kwanza.
 
Manula ndio kipa wenu kesho

Asivoona vizur mtakula mkono kesho

Tena yale mashuti ya mbali
 
Je tusimame kwenye uzi upi kati ya hizi mbili? Maana huku Wydad ni wagumu kule Wydad hana maajabu yoyote.. tushike lipi kwako?

 
Je tusimame kwenye uzi upi kati ya hizi mbili? Maana huku Wydad ni wagumu kule Wydad hana maajabu yoyote.. tushike lipi kwako?


[emoji13], flow na nyakati mjomba
 
Kwani CEO wa simba ana ubaya gani na ana uzee gani? akili za kiutopolo hizi!! Kwani huyo wa nyuma mwiko ni kijana!!
 
Kwani CEO wa simba ana ubaya gani na ana uzee gani? akili za kiutopolo hizi!! Kwani huyo wa nyuma mwiko ni kijana!!

No mzee hana new ideas ndio maana timu ipo vile vile
Tunataka vijana kama Injia Hersi
Kijana mwenye vision na mission na maono
 
Back
Top Bottom