Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.View attachment 2848901
Kiburi na jeuri ndo imefanya mmekufa kibudu
Hauna akili unajieleza sana lakini roho imekuuma sana na wewe ingekuwa Bora ungemfunga waydad kule MoroccoKama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria πππππ
Kwa mfano Utopolo angeifunga Al Ahly goli 5, unafikiri nini kingetokea?Hauna akili unajieleza sana lakini roho imekuuma sana na wewe ingekuwa Bora ungemfunga waydad kule Morocco
Ninacho fahamu hakuna mchezaji mbaya duniani ila vitu vitatu vikiungana unaweza kupata mchezaji bora 1, uwezo wa mchezaji binafsi, 2 mbinu za mwalimu kisha 3 falsafa ya mwalimu na benchi la ufundi ndio maana mchezaji anafeli sehemu na kufanikiwa sehem mfano nafikiri benchika anapenda timu itokea kwa haraka na irudi baada ya kupoteza mpira 2 na kwa falsafa hio hutomuona chama akiwaka na fikir juu ya utumiaji wa onana hanaonekana kwenda mbele marachache kuliko pasi za kushambulia ILA UKWELI CHAMA NI BORA KULIKO ONANA ILA NI MBINU ZA MWALIMUKwaiyo Simba ya Sasa inatumia Falsafa gani? maana hawapo kwenye pasi fupi fupi Wala ndefu!!!
Wamebaki na pila ndumba/ ulozi ambalo nyota ziki goma wanadhalilika, nyota ikiwaka Onana anaonekana Mkali kuliko Chama.
Onana ku kiwasha tena mpaka nyota I wake.
Naungana na wewe kwasababu hata kuna tifauti za falsafa za timu hiz, mbinu za makocha na wachezaji waliokuwepo katika vikosi vyaoWekeni akiba ya maneno
Mama yakoo mwenyewe iloooo kolooooo roho imekuumaaa wenzioo kushinda janaaaa ilooooo unajieleza kama mjane msimbe weweKwa mfano Utopolo angeifunga Al Ahly goli 5, unafikiri nini kingetokea?
Waliokuleta duniani wangekuwa na akili ungeshuhudia utopolo anaifunga Al Ahly kwa mkapa
Hizo ni timu tishio kwa Yanga tu kwa Simba ndiyo tunawataka hao kama Al Ahly, Mamelody, Wydad, Al Hilal na timu kubwa ili tujue tumefanikiwa kivipi kisoka. Yanga imechukua miaka 25 kuingia kwenye makundi ya champion League kwahiyo bado watoto.
Yanga ukiwauliza ni timu gani kubwa ambayo umeifunga watakuambia TP Mazembe, uliifunga ulikutana nayo wapo watakuambia shirikisho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yanga wanatamani wacheze hata na Ndanda kama inawezekana ili waingie fainali ya Champion League. Al Ahly anawasubiri kwao[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kama Al Ahly, Wydad, Mamelod na Al Hilal msimu uliopita wangecheza shirikisho na kuchukua kombe basi hakika kuna watu wangefukuzwa kazi.
Timu changa kisoka kucheza shirikisho mpaka fainali ni mafanikio makubwa sana
Huyo hajitambuiYanga anatoboa nyie mtabaki hapo hapo. Kama yanga ni mbovu goli 5 zilipita wapi
Ni aibu kufungwa goli 5
Ulivyopendeza ndiyo maana Bulzadad alijipigia goli zake 3 kiroho safiπππMwenyeweeeeeee msimbee wewe View attachment 2848922
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa.Sana
Simba habari yake ni kuishia makundi na kuwasha moto
Hauna hoja wewe ndo maana umepigwa Tano na yanga na waydad kakupiga kimojaUlivyopendeza ndiyo maana Bulzadad alijipigia goli zake 3 kiroho safiπππ
Hoja sifuriSawa.
Kwahiyo ushindi wa jana unamtambia Simba, Al Ahly, Mamelod au Wydad?
Yataje hayo mafanikio ya Yanga ambayo Simba hawajawahi kuyafikia.SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.
Kaeni nae chini awape mbinu.
Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.
Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.
Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .
Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc
Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapoβ¦.. a big comfort zone of SSC.
I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.
Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.
Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .
Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.
Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
SawaHauna hoja wewe ndo maana umepigwa Tano yanga na waydad kakupiga kimoja View attachment 2848931
Goli goli tu wewe hauna hoja ndo maana viburi vyenu mkala chuma 5Sawa
Bora Simba iliyofungwa 1-0 kuliko Yanga iliyofungwa 3-0 halafu ball possession ilikuwa mnaongoza ππππππ
- Kama Simba alitoka draw na Al Ahly na wewe uliifunga Simba goli 5. Ulishindwa vipi kuifunga Al Ahly?
- Kama mlifunga Simba goli 5, ilikuwaje mkafungwa 3-0 Algeria?