SSRA vp walishaajiri au?

SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu.
 
SSRA kumbe inanuka sana...Hawa mademu si wa kuwapa vyeo manake anaweza ajiri mabwana zake tu.

jamani hizi dharau kwa wanawake em jaribu kuzipunguza, mbona ofisi ambazo kuna wanaume mabosi husemi?
 
Wadau tafadhali tuhabarishane...hawa ssra hawajaajiri mpaka leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…