Mimi pia ningependa kujua kama walishaita...kujua wanaita lini sio rahisi labda uwe na muhabarishaji kutoka ndani kwenyewe...tuhabarishane wadau..binafsi niliitwa kwenye written interview nafasi ya admn & hr pale luther house mpaka leo sijasikia hili wala lile kuhusu oral interview.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.