Ssra wameshaita watu kwa ajili ya oral intarview ?

na ukiambiwa wameshaita je??????????utakua umeshapitwa?????????kwanini usifatilie wanaita lini ili ujiandae????????????
 
Mimi pia ningependa kujua kama walishaita...kujua wanaita lini sio rahisi labda uwe na muhabarishaji kutoka ndani kwenyewe...tuhabarishane wadau..binafsi niliitwa kwenye written interview nafasi ya admn & hr pale luther house mpaka leo sijasikia hili wala lile kuhusu oral interview.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…