St. Augustine University of Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mleta mada nakushauri na wewe uende ukasome English course. !
 
Hivi ukitoka na daraja la kwanza kidato cha nne lazima utoke na daraja la kwanza kidato cha sita? Je ukifika chuo lazima upate first class? Kama udsm inachukua daraja la kwanza na la pili kwanini mnapata disco? Tulitegemea mmalize wote. Kwa sasa hakuna chuo kinachotoa wahitimu bora wanaofikiri nchini kama SAUT.

Nikiri wazi kuwa SAUT wanachokosea ni kufundisha kozi nyingi kwa muhula. Lakini hii si bahati mbaya. Chuo hiki ni cha kanisa hivyo uwingi wa kozi wamechukua ule wa seminary kuu bila kujali muda. Kule semista ni miezi sita. Lakini kiusomaji SAUT wako poa.

Kiuhalisia usomaji wa sekondari na chuo ni vitu viwili tofauti. Binafsi naona kufaulu chuo ni rahisi kuliko sekondari. Kwanza unamjua mtunga mtihani. Unapomsikiliza lecture yake unaweza kujua mkazo wake uko wapi.

Kidato cha sita binafsi nilipata daraja la tatu la PCM lakini chuo matokeo yalikuwa mazuri zaidi nikiwazidi hata wale wa walopata daraja la pili. Chuo unafaulu kwa nidhamu ya kufuatilia masomo na kufanya mazoezi kwa wakati. Hakuna cha kujua sana wala hakuna genius huko.
 
Did I mentioned???? wewe msomi wa chuo wanachofundisha vizur mimi wa SAUT sijakuelewa?

Kwa field ya Accountancy izi technical college ziko vizuri kulingana na nature na Mazingira ya vyuo wanavyosoma mfano kama IFM,IAA,TIA...ivi vinajishughulisha tu na field iyooo kwa mfano mtu anaesoma IA,IFM&TIA

yeye anasoma course 6 per semister ivo competency yake huez kulinganisha na mtu anaesoma SAUT coz 11 per semister....ila kuna field zingine SAUT wanafanya vizur sana mfano LLB,Public relation and Marketing,Sociology na zingine nyingi...utofaut.
All in all GPA does not determine your life
 
KASEHUYE,

Hakuna logic kwenye reasoning. Umeshamaliza chuo au bado?
 
Last edited by a moderator:
Tuwe wa kweli..... Kuna mtu anakwambia nina degree ila mkiwa kazini unajiuliza huyu ni certificateee au degree? Viwango vya elimu mpaka vyuo kiboreshwe sanaaa especially vyuo fulani fulani
 
saut,st john,tumaini,st joseph.

St johns???? Maelezo kidogo hapo kuna mdogo wangu anapiga pale..wanakoz 10... anasemaga pale ni zaid ya sokoine..ila bado kuna shida ya wahadhili..ni kwel sijui?
 
St johns???? Maelezo kidogo hapo kuna mdogo wangu anapiga pale..wanakoz 10... anasemaga pale ni zaid ya sokoine..ila bado kuna shida ya wahadhili..ni kwel sijui?

St. John, wahadhiri ni tatizo kubwa kwa chuo hiko
 
St johns???? Maelezo kidogo hapo kuna mdogo wangu anapiga pale..wanakoz 10... anasemaga pale ni zaid ya sokoine..ila bado kuna shida ya wahadhili..ni kwel sijui?

BROTHER INTERMEDIATE Umeshasema Wahadhili hakuna Halafu unalinganisha na SUA. Let me Tell you Si Rahisi Kufundishwa na Mtu mwenye jina linaanzia Mr. Pale ma DR. Wengi kweli na Ma prof. kile siyo cha kujilinganisha nacho mkuu kipo sayari nyingine!
 
Vyuo vya ST.ving vipo after pei,St John waligoma sem.ilopita kisa walim karib wote ni tutorial,wanaogopa kuajr weny sifa
 
SAUT wanaenda f.6 failures,wanafundishwa koz mpaka 14 per sem.A ni80,Cni 50,wanapata A za kutosha, NITASHANGAA MILELE
 
Weng wa Ma profesa,ma dokta,viongozi + wasomi wa Tz wng ni pumba tupu.ndo maana nchi haina maendeleo na umasikini mpaka matakoni na asilimia kubwa walisoma UDSM,SUA na MZUMBE.mfano ni JMK

Usishangae nimefanya generalisation kama ulioifanya wewe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…