mtoa mada na gpa yako yote umeamua kuja na pumba hii. Kwa jinsi ulivoandika nadiriki kusema huna unachojua na gpa yako ni ya bure kabisa. Msomi mzima unashindwa kufanya critical investigation na good reasoning unaishia kwenye generalization ya watu hao wachache wanaokuzunguka. Wewe umesoma lakini bado hujaelimika, siku utakayo elimika utaacha kuandika pumba kama hizi. Hii post yako haina tofauti na posts ambazo nazionaga humu nikizisoma tu comments zao huwaga naishia kucheka na kuona jinsi gani ambavyo binadamu bado hajaelimika. Ushauri kwako mtoa mada, mtu au sehemu ya kudharau toa macho mawili makali yenye heshima zaidi.for more information refer to various world cases na utajua nini namaanisha hapa. Cpa njema mtoa mada
Msomi mzima hii maada inaonekana siyo saizi yako unaona kabisa kila kitu kipo sawa unakosoa sehemu zenye Typing Error tu!
SAUT ni Chuo cha Waliofeli Form Six hata kama Tanzania siyo ya vyuo viwili ila Mtu yoyote aliyepata Division One ya Combination yoyote Huwa kuna vyuo wanachagua lakini siyo SAUT.
Hawa wa Division Three za mwisho mimi jamaa zangu kibao niliosoma nao Form Six walikua wamekata tamaa ya Kusoma Chuo ndo wakachaguliwa huko sasa hivi ndo wana A nyingiiii sijui zinaanzia ngapi? hizo A Mtu ana A 10 kila semester wanatisha aisee!
Kuna Ndugu yangu yeye yupo kwenye kampuni moja inajihusisha na Kuajiri watu alisema Policy yao hawachukuagi watu wa SAUT. hii inanipa kiburi kusema hicho siyo Chuo cha kiushindani Najua kama uliwahi kusoma hapo Huwezi ku support hii matokeo yake utakimbilia kwenye kukosoa Spelling siwalaumu hicho ndo chuo chenu kilivowajenga Hamna argument kwenye vitu vigimu!
Nikienda kufanya interview wanafunzi wanaotoka vyuo kama SAUT huwa siwahesabu na Mara zote nawapigaga chini
Msomi mzima hii maada inaonekana siyo saizi yako unaona kabisa kila kitu kipo sawa unakosoa sehemu zenye Typing Error tu!
SAUT ni Chuo cha Waliofeli Form Six hata kama Tanzania siyo ya vyuo viwili ila Mtu yoyote aliyepata Division One ya Combination yoyote Huwa kuna vyuo wanachagua lakini siyo SAUT.
Hawa wa Division Three za mwisho mimi jamaa zangu kibao niliosoma nao Form Six walikua wamekata tamaa ya Kusoma Chuo ndo wakachaguliwa huko sasa hivi ndo wana A nyingiiii sijui zinaanzia ngapi? hizo A Mtu ana A 10 kila semester wanatisha aisee!
Kuna Ndugu yangu yeye yupo kwenye kampuni moja inajihusisha na Kuajiri watu alisema Policy yao hawachukuagi watu wa SAUT. hii inanipa kiburi kusema hicho siyo Chuo cha kiushindani Najua kama uliwahi kusoma hapo Huwezi ku support hii matokeo yake utakimbilia kwenye kukosoa Spelling siwalaumu hicho ndo chuo chenu kilivowajenga Hamna argument kwenye vitu vigimu!
Hivi mbona mnakidharau sana hiki chuo cha SAUT.
Naomba kuuliza grdt wa UDSM kozi ya Sociology na wa SAUT kozi ya Law , yupi ni bora kuliko mwenzake.
Hivi mbona mnakidharau sana hiki chuo cha SAUT.
Naomba kuuliza grdt wa UDSM kozi ya Sociology na wa SAUT kozi ya Law , yupi ni bora kuliko mwenzake.
Nyie mshambulieni mleta mada ila kuna ukweli katika hoja zake..binafsi nilisoma hapo miaka ya nyuma na walikuwa walimu wengi kutoka nje ya nchi na wakifundisha vizuri sana. Ila miaka ya kuanzia 2005 hali ilibadilika wakaanza biashara badala ya kukazania ufundishaji bora.
Kila mkoa wana tawi lao lakini ukiangalia hakuna mwalimu mwenye sifa wanaangalia zaidi quantity badala ya quality.Kuna watu nilisoma nao hapo SAUT walikuwa vilaza darasani lakini sasa hivi naambiwa ndio walimu hapo kisa wapwa wa maaskofu.
Hicho cha kukosa hata top 10 katika CPA ni hoja ya msingi ya kupima weledi wa wahitimu wa SAUT ukilinganisha na wahitimu wa vyuo vyengine.
We acha ujinga wewe wakati kila siku mnatukimbia kwenye Interview!
Siwezi kulumbana na wewe unaonekana ni mmoja wa hao wasio na sifa ila sisi tuliondoka wakati Fr. Rwenyengeza akiwa mkuu wa Chuo..tena unaonekana umetoka usingizini..Acha umbea, (make umeongea bila statistics)sema mwl wa nje aliekuwepo mwenye sifa Department ya Accontancy& Finance na sasa hayupo.. na alikuwa na sifa zipi tofauti na wengine?
Pia taja mwl wa Department ya Accountancy & Finance aliepo pale asiye na sifa.
Usome BAMC au Eduche au Baso ujidai unakifamu chuo!!!
Mimi Sijawahi kusoma mchepuo wowote unohusisha Viingereza mpaka nikijue! huwa naelekeza kwa kiswahili na Intermediate yangu hii nifeshafanya consultations kibao ndugu!
St johns???? Maelezo kidogo hapo kuna mdogo wangu anapiga pale..wanakoz 10... anasemaga pale ni zaid ya sokoine..ila bado kuna shida ya wahadhili..ni kwel sijui?
Siwezi kulumbana na wewe unaonekana ni mmoja wa hao wasio na sifa ila sisi tuliondoka wakati Fr. Rwenyengeza akiwa mkuu wa Chuo..tena unaonekana umetoka usingizini..