yahoo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 3,526 Reaction score 1,409 Dec 2, 2014 #1 Wanafunzi waliomaliza ada na michango yote wamezuiwa kufanya mtihani kwa kushindwa kutoa harambee ya ujenzi wa majengo.
Wanafunzi waliomaliza ada na michango yote wamezuiwa kufanya mtihani kwa kushindwa kutoa harambee ya ujenzi wa majengo.
Gurta JF-Expert Member Joined Sep 17, 2010 Posts 2,233 Reaction score 532 Dec 2, 2014 #2 Sawa sawa, unachotaka kusema ni nini hasa?
yahoo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 3,526 Reaction score 1,409 Dec 2, 2014 Thread starter #3 maana yangu ni hii: shule ni biashara ya mtu binafsi,kwanini mzazi achangie ujenzi wa majengo kilazima,
maana yangu ni hii: shule ni biashara ya mtu binafsi,kwanini mzazi achangie ujenzi wa majengo kilazima,
tracy martins JF-Expert Member Joined Aug 5, 2014 Posts 3,535 Reaction score 1,482 Dec 2, 2014 #4 yahoo said: maana yangu ni hii: shule ni biashara ya mtu binafsi,kwanini mzazi achangie ujenzi wa majengo kilazima, Click to expand... huo ni wizi
yahoo said: maana yangu ni hii: shule ni biashara ya mtu binafsi,kwanini mzazi achangie ujenzi wa majengo kilazima, Click to expand... huo ni wizi
yahoo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 3,526 Reaction score 1,409 Dec 2, 2014 Thread starter #5 tracy martins said: huo ni wizi Click to expand... yea! nilishangaa sana aiseeh,kumbe hata hela nazo zinabakwa eeh
tracy martins said: huo ni wizi Click to expand... yea! nilishangaa sana aiseeh,kumbe hata hela nazo zinabakwa eeh
M MwendaOmo JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 774 Reaction score 723 Dec 3, 2014 #6 yahoo said: yea! nilishangaa sana aiseeh,kumbe hata hela nazo zinabakwa eeh Click to expand... Hiyo ni Karo tu umewekewa. Ikiwa hutaki, badilisha shule.
yahoo said: yea! nilishangaa sana aiseeh,kumbe hata hela nazo zinabakwa eeh Click to expand... Hiyo ni Karo tu umewekewa. Ikiwa hutaki, badilisha shule.