St. Emaculate Private School: Wanafunzi wazuiwa kufanya Mitihani

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Wanafunzi waliomaliza ada na michango yote wamezuiwa kufanya mtihani kwa kushindwa kutoa harambee ya ujenzi wa majengo.
 
Sawa sawa, unachotaka kusema ni nini hasa?
 
maana yangu ni hii: shule ni biashara ya mtu binafsi,kwanini mzazi achangie ujenzi wa majengo kilazima,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…