kaka muulize aliyekupigia aliiona wapijana kuna mtu kanipigia cm akasema st john wametoa short list yao,hebu nisaidieni ipo gazeti gani wana jf.
waliitwa lini?mbona mnatoa taarifa nusunusu-tupen full dataMkuu nikweli wameita watu lakini IMEAHIRISHWA na aijulikani itakuwa lini..........mjini shule.
waliitwa lini?mbona mnatoa taarifa nusunusu-tupen full data
nadhani kuna wakubwa wamehelewa kupeleka vimemo vyao hivo wanavisubiria wakivipata tu mtaitwa kwenye interviewmkuu wameita wiki hii na kusema interview leo cha ajabu wamesitisha mpaka watakapotangaza tena.
mbona wanafanya mambo yao kimyakimya hivimkuu wameita wiki hii na kusema interview leo cha ajabu wamesitisha mpaka watakapotangaza tena.