bangi mbaya sana.... nasikia kule kwenu huwa mnavutia kwenye kibuyu.!!!!!!!!!! sawa jina aliweka kwenye tangazo,ni hiyo kwenye bold wewe inakuhusu nini,kwani yeye alipenda.. jaribu kuwa na busara hata kama bangi zimekuzidia. dawa yako wakutafutie watato wa chang'ombe,kizota,kikuyu au chaduru ili waimalize dharau yako.. wewe kila kitu unakurupukaga tu,iwe siasa,jokes,dini,economics na nyinginezo comments zako ni chuki,upuuzi,pumba kila siku.. aaaarrrrrrrrrrrrrgggggggghhhhhhhh......... unatuuzi sana wana jf!!
Niombe radhi mkuu kwa kuniita mvuta bangi.
Anaitwa Meshack Karimu huyo Afisa Uhusiano wa St. John's. Ni kilaza wa kufa mtu na amedesa sana kupata hako kadigrii kake. Ni aina ya wale watoto walioishi mitaani kwa muda wa miaka tisa mfululizo.
Hujasema kama huvuti bangi, radhi uombwe ya nini?:hat:
Mwangalieni na huyu mwingine.
Ningesema wapi kuwa sivuti bangi? Kwenye registration forms za JF kuna swali kama hilo?
Kabla ya kutaka kuombwa radhi ungesema kuwa hutumii hiyo kitu, kama huvuti ni kweli unastahili kuombwa radhi
Closer=mfungaji????? Kweli hii kali.
Goals closer=mfungaji magoli,khaa!
Kwahiyo unataka kuniambia kuwa kila mtu humu jamvini anavuta bangi? Au unataka kusema kuwa members wote wa JF walishawahi kukujulisha kuwa hawavuti bangi?
Close= funga, closer= mfungaji, inglishi haipo kukitafsiri kiswahili
Hilo si kosa ni Error!
Kuna mambo ya kuyapa attention zaidi kuliko neno hilo!
Unaweza kunambia impact ya kutisha ya kosa hilo kwa jamii ninini?
Tatizo letu wa-Bongo huwa hatujipi muda wa kusoma na kusoma na kusoma kile tulichoandika. Huwa nashangaa sana sijui huwa tunataka kuwahi wapi? Naamini kabisa huyo jamaa angejipa muda wa kulisoma hilo bandiko lake mara kadhaa angegundua ni wapi alipokosea. Wahariri wetu nao hovyo, utafikri hawajaenda shule!