St.John's ni vipi hapo?

Mgimiloko

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
24
Reaction score
2
Yaani baada ya kutoa majina ya selected applicants,na news nyingine Website yao haifungui hizo news....kunani?
 
Vyuo vya kata bana, kumbe navyo vina wateja wengi tu..!
 
Mimi nilifikiri mji wa St Joh's wa NL Canada ambao ni mji mkongwe kuliko yote North America.
 
Mimi nilifikiri mji wa St Joh's wa NL Canada ambao ni mji mkongwe kuliko yote North America.

mkuu wewe ni form 6 leaver au std 7 kwa sababu kama ni form six leaver lazima uwe umepitia guide book na vyuo vyote umeviona au unataka kutudhibitishia ukilaza wako kwamba ukupitia guide book au we ndio wale mliosaidiwa kufanya application acha dharau za kijinga?
 
Watu wengine ni wachache wa akili....kujiona wapo vyuo vya maana sana wakati ni mapoyoyo tu....basi hata km we umesoma chuo cha TARAFA ndo unaona umesoma sana? Sifa ya msomi sio kuwa na gamba la UD,bali ni yule anayejiuliza ELIMU YAKE INAWASAIDIA NINI WANAJAMIII na sio kupaka tu ooooh vyuo vya kata.....huo ni uzembe na upungufu wa busara!!!!!
 
Na hawahawa wanaoponda vyuo hivi wanaviita vya kata still wapo mtaani wanapiga miayo mtaani,kwa hyo wenye dharau hizi acheni huu upuuzi
 
Na hawahawa wanaoponda vyuo hivi wanaviita vya kata still wapo mtaani wanapiga miayo mtaani,kwa hyo wenye dharau hizi acheni huu upuuzi

@ BAF ya st. John ipo campus ipi?
 
Vyuo vya kata bana, kumbe navyo vina wateja wengi tu..!

Hata vyama vya upinzani wakati vinaanza wabongo wengi mlividharau kwasababu mlikariri ccm kama wewe ulivyokariri vyuo kama ud. Lakini niambie leo kati ya chadema na ccm hali ikoje.Wengi mliona chama bora ni ccm tu,kama wewe unavyoona chuo bora ni ud pekee yake na vingine vichache.

Hata hiyo ud wakati inaanza ilidharaulika ukilinganisha na vyuo vya nje ya nchi.

Miaka 50 ya uhuru wewe una fikira za mwaka 47 kutaka nchi nzima iwe na chuo kikuu kimoja tu au viwili.

Hata kama umesoma, ni wazi shule yako ni ya kukariri au hujaelimika na kama ndo umesoma ud sijui sasa hapo huo ubora wa chuo hiko uko wapi kama unakuwa na mawazo mgando kama haya ya kutaka tubaki na vyuo vichache vinavyohesabika.

Hivi kama sekondari zinaongezeka na population inaongezeka wewe ulitarajia nini?

Tatizo lingine ni mtu kuzaliwa bongo,kusomea bongo na si ajabu unaishi bush na huna exposure ya kutosha.

Hivi wewe unafikiri nchi zilizopiga hatua katika elimu ya juu walikuwa na vyuo vya kuhesabu tangu nchi hizo zipate uhuru?

Wabongo wengi mnadhani vyuo vikuu bora ni vile vya serikali tu.St Johns university ziko mpaka Marekani na ni vyuo bora duniani?Acha ushamba umekariri mambo ya bongo tu.Tembea duniani ujionee watu walivyowekeza katika elimu ya juu.

Yaani wewe kama umesoma hapo ud huna tofauti na wale wanasheria wa hapo ud wanaosaini mikataba mibovu, kama hawakwenda shule, inayoligharimu taifa.

Wewe kama umesoma hujaelimika na kama ni mwanamke inawezekana ndio wale wenye degree za nguo ya ndani kama alivyosema yule mkuu wa wilaya.
 
Tatizo hawa vijana ndo waliopitapita UDSM na SUA ktk familia zao,kwani wangetoka ktk familia zilizosoma na kuelimika wasingekuwa na dhana potofu km hz...yaani unakuta baba alisoma UD kipindi hicho na watoto wake anasomesha vyuo vingine ambavyo nyi washamba mnavidiss.....kwanza hata tukiangalia shule mlizosoma awali basi nazo mzianike tuwe interested na zile za kipind kile km MZUMBE,ILBORU n.k......mnachonga sana had mnatoa povu....km woote tungekuja kusoms UD au SUA unafikiri tungetosha?:baby:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…