St. John's university wasaini boom mbele ya maafande

nchasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2010
Posts
564
Reaction score
185
Wanachuo wa St.JOHN's Dodoma wamesaini hela ya boom mbele ya maafande baada ya kushinikiza kwa mgomo. Kumbe mgomo una matokeo chanya wakati mwingine.
 
Na nyie wa vyuo vya uchochoroni mnapata wapi ujasiri wa kugoma na kuandamana? Vidigrii vinyewe hata havitambuliwi hapo Kenya tu.
 
Hongeren,hata mosh kuna chuo wanasuasua,viongoz wa serikal ya wanachuo weng vilaza
 
Na nyie wa vyuo vya uchochoroni mnapata wapi ujasiri wa kugoma na kuandamana? Vidigrii vinyewe hata havitambuliwi hapo Kenya tu.

Hivi Jf hakuna jins ya kupata details za member, au hata kuwapata physicaly? Isee kiukwel jamaa umetoa kashfa na kubeza kupta kias! Yan ww unakiona chuo hk kua hakiwez chochte? Do u mean TCU doeznt recognze it as a UNIVERSITY among the other universties found in Tz? Omba radhi ndg yangu, umefanya sivyo yani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…