St.joseph dsm kimenuka

mikiray

Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
50
Reaction score
4
Hatimaye wanafunzi wa st.joseph university in tanzania dsm mwaka wa kwanza education wamegoma kuingia darasani kisa mpaka sasa hawajapewa boom la kwanza principal aweweseka na kuwaomba samahani watawaingzia mwez ujao
 
Hatimaye wanafunzi wa st.joseph university in tanzania dsm mwaka wa kwanza education wamegoma kuingia darasani kisa mpaka sasa hawajapewa boom la kwanza principal aweweseka na kuwaomba samahani watawaingzia mwez ujao

Kwani hapo St. Joseph University wanafunzi hupewa "boom" na chuo? Principal anaweweseka na kuomba msamaha kwa ajili ya nini hasa?
 
c boom linawekwa kwenye account ya chuo ndo wanawaingzia students
 
Hao nao wanapewaga mkopo kumbe?majanga
 
Mbinu mbadala kama ipi wasaidie

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Hatimaye wanafunzi wa st.joseph university in tanzania dsm mwaka wa kwanza education wamegoma kuingia darasani kisa mpaka sasa hawajapewa boom la kwanza principal aweweseka na kuwaomba samahani watawaingzia mwez ujao

Safi sanaa
 
Wanajikopesha hizo hela then wanazizungusha katika biashara na dili zao mbovu zingine, huku vijana wetu vyuoni wanapata taabu
 
mmmmmmh wewe upo tanzania au

Nijuavyo St Joseph kuna kozi hizi hapa


1.BACHELOR IN CIVIL ENGINEERING ( B.E.)

2.BACHELOR IN MECHANICAL ENGINEERING ( B.E.)

3.BACHELOR IN ELECTRICAL & ELECTRONICS ENGINEERING. ( B.E.)

4.BACHELOR IN ELECTRONICS & COMMUNICATION ENGINEERING ( B.E.)

5.BACHELOR IN COMPUTER SCIENCE ENGINEERING ( B.E.)

6.BACHELOR IN INFORAMTION TECHNOLOGY (B.TECH.)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…