RANYE WEST
Member
- Apr 29, 2013
- 7
- 0
Wanafunz wa chuo cha St.Joseph~ Songea,waendelea kuwa ktk hali mbaya kiuchumi.Hii ni mara baada ya kuambiwa kuwa chuo hicho bado hakija pokea fedha za kujikim wanafunzi kwa awamu ya pili.lakini cha ajabu zaidi ni kuwa uongozi wa chuo hicho uliwatangazia wanafunzi kuwa chuo hicho kimeshapokea fedha za awamu ya pili kutoka bodi ya mikopo mnamo tarehe 17 ya mwezi wa 12,lakini leo uongozi huo umegeuka na kusema kuwa bado haujapokea fedha hzo.Hvyo wanafunzi hao hawajui ni lini watapata fedha hizo.Hii inapelekea wanafunzi hao kuishi kwa shida kwani wengine hushinda njaa kutokana na ukosefu wa pesa.