st.joseph songea mgomo waendelea siku ya tatu leo

st.joseph songea mgomo waendelea siku ya tatu leo

waseko

New Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
4
Reaction score
4
leo siku ya tatu toka wanafunzi wa chuo cha mtakatifu joseph kilichoko mkoani ruvuma mkuu wa wilaya ajikanyaga kutoa tamko la serikar asema kwa kuwa wamefunga chuo na sisi tunakubali ashindwa kuonyesha msimamo wa serikar kuhusu mgomo huo wanafunzi wadai chuo kifutwe wahamishiwe vyuo vikuu na siyo extendend primary school inayoita majina jana na leo
 
Dah poleni sana
hii ndo tanzania
sijui TCU kazi yake ni nn?
waziri wa elimu?
hii ndo Tanzania bana....!!!
 
Back
Top Bottom