wana jamvi chuo nilichokitaja hapo juu nimekikuta kwenye TCU kwa wale walioambiwa kurudia second round ya application nimekiona lakini chuo hiki kwenye GUIDE book ya tcu hakipo pia Chuo hiki nakionyeshi Amount ya karo pia Amount ya Mkopo ni ngapi hususani coz ya Bsc in education with chemistry vyote hivyo vimeandikwa 0.
ni ukweli kabisa hicho chuo kipo ni tawi ya arusha ila kinaanza mwaka huu,,,hawa jamaa wameanza kutoa na fani za elimu lakini kwa sayansi pekee
ST JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA (COLLEGE OF EDUCATION ARUSHA)