mikiray Member Joined Sep 29, 2013 Posts 50 Reaction score 4 Nov 13, 2014 #1 Mpaka sasa wanafunzi wa mwaka wa pili hakuna kinachozungumzwa kuhusu boom cjui wanatutakia nn maana tumehishiwa tunafukuzwa kwenye nyumba tulizopanga Kodi mkataba umekwisha,tunakula kwa taabu. Je! hii ni haki?
Mpaka sasa wanafunzi wa mwaka wa pili hakuna kinachozungumzwa kuhusu boom cjui wanatutakia nn maana tumehishiwa tunafukuzwa kwenye nyumba tulizopanga Kodi mkataba umekwisha,tunakula kwa taabu. Je! hii ni haki?
D Dr. E Member Joined Aug 17, 2014 Posts 13 Reaction score 0 Nov 13, 2014 #2 Hela zimepelekwa kumtibu JK tezi dume marekani!.