Hongera kwa kuchaguliwa hapo na mimi nimechaguliwa tawi la songea BCS.wale wa songea jamani tupeni uzoefu wenu hapa.
Asante
Aaaah....aaaaah!we uliyechaguliwa songea campus karibu xana.Maisha sio juu ki vile.then songea n km 950 from DSM &chuo n kama 7km from songea town.
tek my namba 0719 330 430..npo 2 yrs kol me
inabidi uyo kijana 2msaidie apate chumba maeneo ya ruwiko karibia na chuo kaka....songea ful wali mgebuka..dogo welkame st.joseph in songea
acha utani bro mwaka wa nne india anafuata nini na unajiripia au?
Halafu et hii falcut ya electronics and communication eng v/s electrical and electronics eng ipi ni best zaidi?
masta hebu nipe more info na sos ya hii habari