St. Valentines Day, ukweli mchungu kuhusu mapenzi na mahusiano

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
  1. Kwa 95% mwanaume atamwacha mwanamke wake iwapo mwanamke huyo ataacha kumpa mwanaume unyumba.
  2. 95% ya wanawake wanawaacha Wanaume zao pale Wanaume zao wanapoacha kuwapa pesa. .
  3. 5% ya wazazi hawawakubali wapenzi wa watoto zao .
  4. Anayekwambia "sitaweza kuishi bila wewe" ataendelea kuishi maisha yake ya furaha hata bila uwepo wako.
  5. Wasichana warembo wana ndoto za kuelewa na wanaume matajiri.
  6. Wanaume wenye utajiri mkubwa wanawachukulia wasichana wao kama midoli, na hawana mapenzi ya kweli.
  7. Watu waliozama kwenye huba wataona maneno yangu ni ya kiboya, hadi watakapopigwa kibuti akili zikikaa sawa wataelewa ninachokimaanisha.
 
Mimi Kama katibu mwenezi Sina hoja au mawazo mengi.

Karibu katika chama Cha kataa ndoa, chama chenye kupambania na kulinda haki na mali za mwanaume.

raisi wa chama chetu ni Liverpool VPN, katibu mwenezi ni Mimi Intelligent businessman, mwanasheria wa chama ni Xi Jinping, makamu mwenyekiti ni Natafuta Ajira.

Baraza la chama min -me, Loading failed.

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
 
Ehhh Leo Kuna kazi imeingia kazini huku jamani
 
Mimi na Safari lager mapenzi yetu ni ukweli msifananishe public girlfriend zenyu
 
Yaani sasa ni vibao vimetundikwa vya "vyumba vimejaa".Unaweza ukakuta kuanzia kesho wengine wakaanza safari ya kuutafuta usingle parent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…