Jana usiku saa5 "x" nilikuwa napiga sas ameolewa amenitumia sms ya happy Valentine daah kiukwel nimeumbia sana kuona wanawake walivyo waajabu jamaa huenda amelala baada ya mahangaiko alafu mkewe anawatakia happy Valentine wanaume wengine
Wanawake mnakwama wapi ukiolewa kubali kuyasahau yaliopita