The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
Active in red colour aisee nakukubali sana 😂😂😂 , Nakumbuka block yako moja hivi matata sanaStaff Members wanapiga kazi kubwa sana, Leo nimejisikia tu kuwapost 😁.
Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana , hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block then ukamjua mtaje tu 😂😂😂
View attachment 3226008View attachment 3226009View attachment 3226010
Hakuna kustaafu labda 😁
Najua basi?🙃Hivi kumbe ni mwanamke?😄
Wawapumzishe jamani,.Hakuna kustaafu labda 😁
Ila naonaga picha zao kunao kadada hako kazuri kazuriNajua basi?🙃
Ila ni jamaa yangu mzuri tu maana kuna mda huwa naona reacts zake za emoji za kucheka kwenye posts zangu 😁, Kama itampendeza namuomba akomenti hata kidogo ,AIsee😄
Hawajai kunijiibu kwa wakati nikiwa na changamoto mpaka niwatukane ndio waitane wote waje kujibu pm yangu kwa pamojaKafanyaje tena , usimchome kwa Boss 😂