Hunywi pombe kali wewe!!Mimi nakunywa pombe Kali kwanza inaweza kuwa k vant, konyogi, value ama Hanson's choice afu nashushia na bia nne naenda zangu kulala
Mkuu hii kitu ukisukuma ikiisha hunyanyukiHunywi pombe kali wewe!!
Hizo ulizotaja na maji tu!!
Absinthe calavera 89.9% alcohol volume.
Ukipewa utawezana[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2486795
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii kitu ukisukuma ikiisha hunyanyuki
Mimi nakunywa pombe Kali kwanza inaweza kuwa k vant, konyogi, value ama Hanson's choice afu nashushia na bia nne naenda zangu kulala
Piga jibapa la kahawa nikishushia na kipande kikubwa cha tuna fish, likiisha nakunywa maji lita mbili, ya uvuguvugu. Then call it a dayMimi nakunywa pombe Kali kwanza inaweza kuwa k vant, konyogi, value ama Hanson's choice afu nashushia na bia nne naenda zangu kulala
Kujiozesha firigisi kisa sifa.Mimi nakunywa pombe Kali kwanza inaweza kuwa k vant, konyogi, value ama Hanson's choice afu nashushia na bia nne naenda zangu kulala
Njoo tuombe pamoja Mungu atakusikia. Kiuhalisia wala Mungu hahitaji fedha zako umpe kama shukrani, yeye hana kabisa matumizi ya pesaIla nampango wa kwenda kwa kuhan mussa au mwamposa aniombee niache pombe
umenikumbusha mbali kpindi nakunywa banana aina ya raha nakuja kushtuka niko kitandani nilikuwa najiuliza nimefikaje nyumbani na nilipita njia gani huwa sipatagi jibu.ila vijana wa moshi wameharibikiwa na hzo pombeSiku jaribu umalizie na Banana
Aandike urithi kabisaSiku jaribu umalizie na Banana
πππππAandike urithi kabisa